Rais Kikwete amteua Lawrence Mafuru kuwa Msajili wa Hazina
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Lawrence Nyasebwa Mafuru (pichani)kuwa Msajili wa Hazina kuanzia tarehe 5 Novemba, 2014.
Taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa kabla ya uteuzi wake, Bwana Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Rasilimali Fedha katika Ofisi ya Rais inayohusika na ufuatiliaji Miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (PDB). Aidha Bwana Mafuru pia alikuwa Kaimu Mtendaji...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y5HrdsM9EVg/U25MDN9w_OI/AAAAAAAAAMk/y3jbmpjoUFQ/s72-c/Mafuru.jpg)
LAWRENCE MAFURU JOINS CRDB BANK BOARD
![](http://3.bp.blogspot.com/-y5HrdsM9EVg/U25MDN9w_OI/AAAAAAAAAMk/y3jbmpjoUFQ/s1600/Mafuru.jpg)
Mr. Lawrence Nyasebwa Mafuru has been appointed to join CRDB Bank as an Independent Director. He will therefore be sitting in CRDB Bank Board Meetings as a Board Member.
Mr. Mafuru served as National Bank of Commerce Managing Director from June 2010 until December 2012. He also served as Tanzania Bankers Association Chairman from January 2010 until December 2012.
Mr. Mafuru now works in the President's Delivery Bureau (PDB) under the Big Results Now (BRN) initiative as the Director of...
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA CP DIWANI ATHUMANI KUWA DCI
Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation). Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t5bu_qtVvYQ/VSeURI9A6PI/AAAAAAAHP_w/EiHMG-5_8DM/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete amteua Mgaza kuwa Balozi Saudi Arabia
![](http://3.bp.blogspot.com/-t5bu_qtVvYQ/VSeURI9A6PI/AAAAAAAHP_w/EiHMG-5_8DM/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Rais Kikwete amteua Profesa Assad kuwa CAG Mpya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA RISHED BADE KUWA KAMISHNA MKUU WA TRA
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bwana Rished BADE. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Rished BADE kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, uteulzi huu umaanza tarehe 06 Mei, 2014. Bwana BADE anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bwana Harry KITILYA ambaye alistaafu tarehe 14...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
RAIS KIKWETE AMTEUA ERNEST MANGU KUWA MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI
Kamishna wa Polisi Ernest Mangu aliyeteuliwa na Rais Kikwete kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Desemba 30, 2013, amemteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini. Taarifa iliyotolewa usiku wa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa Kamishna Mangu anachukua nafasi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s72-c/tanzania-tanesco.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA DK. MIGHANDA MANYAHI KUWA MWENYEKITI MPYA WA BODI YA TANESCO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s1600/tanzania-tanesco.jpg)
Kwa taarifa iliyotolewa leo na kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini ilisema ,kufuatia uteuzi huo,Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewateua Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANESCO .
Wajumbe wa bodi walioteuliwa ni Kissa Vivian...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania