Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Museveni afunga shule, azuia mikusanyiko ya kidini, kisiasa

Rais Museveni atangaza kufunga taasisi za elimu, mikusanyiko nchini Uganda. Ibada kufanyika nyumbani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona. 





DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.

Hatua hizo...

 

11 years ago

GPL

RAIS BANDA AZUIA MATOKEO

Rais Joyce Banda wa Malawi ameamuru kusitishwa shughuli za kuhesabu kura na kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu, aamuru uchaguzi urudiwe ndani ya siku 90, yeye kutogombea!

 

10 years ago

GPL

MSHAURI WA RAIS UHURU: MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI

Baadhi ya miili ya abiria waliouawa jana na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya. Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera likiwa njiani kuelekea Nairobi.…

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MUSEVENI NA RAIS NKURUNZINZA WAWASILI NCHINI TAYARI KWA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA UKANDA KATI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akimpokea Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni  alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais Museveni yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Ukanda wa Kati kuhusu Uwekezaji na Viwanda unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuanzia tarehe 25 hadi 26 Machi, 2015.Rais Museveni akipokea shada la maua kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri amtisha Rais Yoweri Museveni

>Waziri wa Serikali za Mitaa nchini Uganda, Alex Onzima ametishia kujiuzulu wadhifa wake iwapo Rais Yoweri Museveni hatakubali kutia saini muswada unaohusu wapenzi wa jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amama Mbabazi atampinga rais Museveni

Waziri mkuu wa zamani wa Uganda Amama Mbabazi atampinga rais Yoweri Museveni kuwania tikiti ya urais wa chama cha NRM.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Rais Museveni atagombea Urais tena?

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema sio juu yake kuamua kuendelea kuwa kiongozi wa nchi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Museveni hafai kupatanisha Burundi

Neno “PIERRE” kwa Kifaransa lina maana ya jiwe na “NKURUNZIZA” kwa Kihutu lina maana ya habari njema. Mwaka 2005 Pierre Nkurunziza alikuwa “jiwe” lililowapa Warundi “habari njema” alipochaguliwa kuwa rais wa Burundi baada ya miaka mingi ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.

 

9 years ago

Mtanzania

Rais Museveni kuachia wimbo mpya

Yoweri_MuseveniKAMPALA, UGANDA

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao ameupa jina la ‘Kwezi’ utakaokuwa unachangia shughuli za kampeni za uchaguzi.

Kwezi utakuwa ni wimbo wake wa tatu ndani ya miaka mitano mara baada ya kuachia wimbo wa Mpenkoni, ambao ulitumika sana katika kampeni za uchaguzi mwaka 2011.

Mpaka sasa rais huyo hajapanga siku ya kuuachia, lakini inasemekana ni siku za hivi karibuni kwa kuwa tayari amekaa na baadhi ya wataalamu wa muziki na kuupitia wimbo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani