RAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AFUNGA KIKAO CHA BARAZA LA WAWAKILISHI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi kwa ajili ya Ufungaji wa Baraza baada ya kumaliza muda wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame, alipowasili katika viwanja vtya Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2RwpNeY_ih4/default.jpg)
10 years ago
MichuziUFUNGUZI WA KIKAO KATI YA UONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA KAMATI YA KUDUMU YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Ofisi za Viongozi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rR42Kac7cxY/VY5HeQL2apI/AAAAAAAHkaM/q8WnaZS-L8Y/s72-c/unnamed.jpg)
RAIS SHEIN AANDAA FUTARI KWA VIONGOZI NA WAWAKILISHI IKULU ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-rR42Kac7cxY/VY5HeQL2apI/AAAAAAAHkaM/q8WnaZS-L8Y/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_Et5e5GlGFI/VY5HfRAgxvI/AAAAAAAHkaU/zcRpaSL0byY/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Oct
Baraza la Wawakilishi laanza kikao
BARAZA la Wawakilishi limeanza kikao chake jana ambako pamoja na mambo mengine litajadili miswada miwili ya sheria, huku Muswada wa Maadili ya Viongozi ukirudishwa tena kwa kamati kwa ajili ya majadiliano zaidi na kupokea maoni mbalimbali ya wadau kwa maboresho mapya.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GOdccMgFoc0/VZkSICgr4JI/AAAAAAAHnEs/_O6GqacZJnY/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
KIKAO CHA KAMATI MAALUM ZANZIBAR YAPITISHA JINA LA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM DK. ALI MOHAMED SHEIN
![](http://3.bp.blogspot.com/-GOdccMgFoc0/VZkSICgr4JI/AAAAAAAHnEs/_O6GqacZJnY/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-epoOiXc-Z5U/VZkSIUggJBI/AAAAAAAHnEo/8rYvsFooFiM/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_B7iRzHfAeg/VZkWwZsU76I/AAAAAAAHnGk/-ZJvsFdU0dk/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Kamati ya fedha, biashara na kilimo ya baraza la wawakilishi Zanzibar yatembelea kiwanda cha Sukari Mahonda
Muonekano wa Kiwanda cha Sukari Mahonda kilivyo hivi sasa.
Mshauri muelekezi wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Dk. Hamza Hussein Sabri (alie simama) akitoa maelezo na changamoto wanazozipata Kiwandani hapo, kwa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi walipoenda kutembelea Kiwanda hapo.
Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi Hija Hassan Hija akizunguza na uongozi wa Kiwanda cha Sukari na viongozi wa Wizara ya Biashara, Viwanda na...
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Wawakilishi Z’bar wakacha kikao, Baraza laahirishwa
10 years ago
Dewji Blog28 May
Rais wa Zanzibar, Dk. Shein afunga mkutano wa mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dar
![087](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/087.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PSqouVrgRIw/VWWbljQdo_I/AAAAAAAA-R0/GwnD7V2FhbM/s640/088.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pivZv1Bnw7w/VWWbmuMFMbI/AAAAAAAA-R8/M8WVexVo8hs/s640/096.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AFUNGA KIKAO CHA MABALOZI WA HESHIMA WASHINGTON, DC