Rajiv Gandhi: Waziri Mkuu wa kwanza kijana India
Rajiv Ratna Gandhi, alikuwa Waziri Mkuu wa sita wa India kutoka mwaka 1984 hadi 1989. Ghandhi alikuwa Waziri Mkuu kijana katika historia ya India, akichukua nafasi hiyo kutoka kwa mama yake, Indira Gandhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Sonia Gandhi na mwanawe washtakiwa India
10 years ago
MichuziRAIS NA WAZIRI MKUU WA INDIA WAMPOKEA RASMI RAIS KIKWETE IKULU YA INDIA
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Waziri mkuu wa India kustaafu siasa
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Waziri Mkuu wa kwanza kuhamia upinzani
10 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-o4jnwOAjF1M/VPSRiQRHrmI/AAAAAAAABTQ/6WsDJZIEg2c/s72-c/Narendra%2BModi.jpg)
WAZIRI MKUU INDIA ATAKA SULUHU ZA USALAMA MTANDAO KWA WANA TEHAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-o4jnwOAjF1M/VPSRiQRHrmI/AAAAAAAABTQ/6WsDJZIEg2c/s1600/Narendra%2BModi.jpg)
Waziri mkuu Huyo mhe. Narendra Modi, Ameyazungumza hayo alipokua akizungumza na wana TEHAMA Nasscom, Waziri mkuu huyo alizungumza na kusema dunia nzima imekua ikiangazia macho maswala ya usalama mitandao na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bvo4riHoSm8/Ve9WAAlYphI/AAAAAAAH3bk/DVBgoXw2ut8/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bvo4riHoSm8/Ve9WAAlYphI/AAAAAAAH3bk/DVBgoXw2ut8/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JDSSR96RTeE/Ve9WAf1-gAI/AAAAAAAH3bo/37Dc12TO6Ww/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s72-c/657998666.jpg)
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza uwekezaji DART leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s1600/657998666.jpg)
Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam (DART), Bi. Asteria Mlambo, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa mkutano huo wa...
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua rasmi mafunzo ya Uongozi daraja la kwanza Chuo cha Magereza Kiwira,Mbeya
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda(katikati) akipokea Salaam kutoka kwa Gwaride lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi Daraja la Kwanza kwa Askari wa Jeshi la Magereza(hawapo pichani). Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja(kulia) ni Mkuu wa Chuo cha Magereza Kiwira, SACP. Stanford Ntirundura.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Peter Pinda akikagua Gwaride rasmi lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Daraja la kwanza...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0LRSEl-Txjw/Vc_L7_t4r9I/AAAAAAAHxNA/R0uKyhRAztI/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA UONGOZI DARAJA LA KWANZA CHUO CHA MAGEREZA KIWIRA, MKOANI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0LRSEl-Txjw/Vc_L7_t4r9I/AAAAAAAHxNA/R0uKyhRAztI/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8i2N9W3Cr6s/Vc_L73c25WI/AAAAAAAHxNE/2wqrVmynvZw/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)