Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rally ban in Mtwara, Lindi to be lifted soon, says govt


IPPmedia
Rally ban in Mtwara, Lindi to be lifted soon, says govt
IPPmedia
Government ban on public rallies in the southern regions of Mtwara and Lindi may be in the not so distant future with authorities reporting they are performing a security evaluation ahead of the lift. Public rallies in the said regions were banned late last year in ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

New fixtures to be drawn up as ban is lifted

The Sierra Leone FA prepares to draw up a year-ending list of competitive fixtures after a ban on domestic football is lifted.

 

11 years ago

Michuzi

Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.

 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona  ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...

 

11 years ago

Turkish Press

Zanzibar police ban opposition rally, cites terror threat


IPPmedia
Zanzibar police ban opposition rally, cites terror threat
Turkish Press
DODOMA – Police in Zanzibar, a semi-autonomous part of Tanzania, on Saturday banned a public rally by the opposition against the draft constitution, citing terrorist threats. "We don't have problems with opposition here," Zanzibar police spokesperson ...
Deputy Minister for Finance, Mwigulu NchembaIPPmedia
UKAWA meeting cancelled in ZanzibarDaily News
Tanzania opposition quits constitution-drafting...

 

9 years ago

IPPmedia

Ukawa faults govt over campaign rally venue


IPPmedia
Ukawa faults govt over campaign rally venue
IPPmedia
Coalition of People's Constitution (Ukawa) co-chairman James Mbatia updates journalists in Dar es Salaam yesterday on preparations for a rally to be held in the city on Saturday. The Coalition of People's Constitution (Ukawa) yesterday faulted the ...
Tanzanian Opposition Says Its Campaign Events Are Being BlockedBloomberg
Sub-Saharan democracy, continued: Tanzania goes to the pollsDaily Maverick
Need to Campaign...

 

11 years ago

IPPmedia

NIDA: Lindi, Mtwara next in registration


NIDA: Lindi, Mtwara next in registration
IPPmedia
The National Identification Authority (NIDA) is to begin registering residents of Lindi and Mtwara regions after completion of the exercise in Pemba and Unguja Islands which started in February this year. NIDA Head of Communications, Thomas William told ...

 

11 years ago

Habarileo

Mtwara,Lindi kuwa ya kisasa

UCHUMI wa gesi unaotarajiwa kuinua maisha ya Watanzania, umesababisha Rais Jakaya Kikwete kuagiza maandalizi ya haraka ya ujenzi wa majiji ya kisasa katika miji ya Mtwara na Lindi. Akizungumza juzi na Waziri wa Nyumba, Makazi na Maendeleo ya Miji na Vijiji wa China, Jiang Weixin Ikulu, Zanzibar, Rais Kikwete aliomba nchi hiyo kusaidia kupanga miji ya kimkakati ya Mtwara, Lindi na Kigamboni, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Mikutano ya siasa Lindi, Mtwara ruksa

SERIKALI imeondoa zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililokuwa limewekwa tangu mwaka juzi kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Katika taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, anasema hatua hiyo imetokana na Serikali kuridhika kuwa hali ya amani na utulivu imerejea katika mikoa hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA KUANZA ZIARA LINDI NA MTWARA



Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,CCM Ofisi ndogo Lumumba.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani