Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY C AWAPIGA MIZINGA WANAOMCHUMBIA

MAKUBWA! Mwanadada mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C,’ amedaiwa kuwageuza mtaji wanaume wanaojitokeza kumchumbia kwa kuwapiga mizinga ili ajipatie ‘chochote’ (fedha), Risasi Mchanganyiko lina ‘full’ stori. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1efJab9

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida

bidhaa[1]

Na Jumbe Ismailly, Singida      

HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.

Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.

Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Daftari awapiga ‘stop’ UKAWA

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Dk. Maua Daftari, amewapiga marufuku wajumbe wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wasiendeshe mikutano na maandamano. Dk. Daftari alitoa kauli hiyo juzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mangungu awapiga madongo Ukawa

Mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaz Mangungu amewapiga madongo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwa wameungana kwa sababu wamechoka.

 

9 years ago

GPL

MADAM RITA AWAPIGA CHINI WANASIASA

Jaji Mkuu wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS) Rita Paulsen ‘Madam Rita’ . Na Hamida hassan Jaji Mkuu wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS) linaloendelea hivi sasa, Rita Paulsen ‘Madam Rita’ amewapiga chini wanasiasa waliokuwa wakitamani awe nao na kusema kuwa yeye ni mfanyabiashara hivyo hawezi kusapoti chama chochote cha siasa. Akizungumza na Ijumaa Rita alisema kuwa kipindi hiki cha siasa...

 

10 years ago

Michuzi

Msama awapiga jeki KKKT Segerea

  Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama mbaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASAT) akizungumza katika tamasha la Uimbaji na Uchangiaji wa Ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Segerea jijini Dar es Salaam na kuahidi kutoa sh. milioni 6 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa kanisa hilo. Msama alikuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo akimwakilisha Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Miochezo, Dk. Fenela Mukangala. Mchungaji...

 

10 years ago

Michuzi

MSAMA AWAPIGA TAFU YATIMA DAR

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama (lushoto), akimkabidhi sehemu ya msaada wa vyakula Katibu Mkuu wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Maunga Center cha Kinondoni jijini Dar es Salaam, Rashid Mpinda.  Msaada huo wenye thamani ya sh. milioni 7 unatokana na mapato yaliyopatikana katika  tamasha la Pasaka na Krismasi. (Picha na Francis Dande)  Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions Ltd, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari wakati wa...

 

11 years ago

GPL

MILLARD AYO AWAPIGA CHINI MASTAA

Stori: MUSA MATEJA AMETISHA! Prizenta wa Clouds FM, kupitia kipindi chake cha Amplifaya, Millard Ayo amewapiga chini mastaa kibao baada ya kutwaa Tuzo ya Mtangazaji Anayependwa wa Redio na nyingine ya Kipindi cha Redio Kinachopendwa yaani Amplifaya katika Tuzo za Watu. Prizenta wa Clouds FM, kupitia kipindi chake cha Amplifaya, Millard Ayo (wa tatu kushoto) akiwa na tuzo pamoja na wenzake. Mpango mzima ulichukua nafasi usiku wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani