RC ahimiza uadilifu kutimiza wajibu
VIONGOZI na watumishi wa umma mkoa wa Ruvuma wametakiwa kuwa waadilifu na waaminifu wakati wanapotekeleza majukumu yao kwa wananchi. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu wakati akizindua baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Tunduru.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
TACCEO yaitaka NEC kutimiza wajibu wake
Mtandao wa Asasi za Kiraia za Uangalizi Chaguzi Tanzania (TACCEO) umetoa tamko jana Oktoba 6, 2015 kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhakikisha sheria na kanuni zinafuatwa na haki ya Wananchi kushiriki katika mchakato wa uchaguzi wa viongozi wao unalindwa na kuheshimiwa.
Akisoma tamko hilo mbele ya wanahabari, Kaimu Mwenyekiti wa Mtandao huo unaoratibiwa na Kituo cha Sheria na Haki...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O-ICNgh4uW0/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Mar
RC Mara ahimiza uadilifu
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Uzalendo, Uadilifu na Maslahi ya Taifa: Wajibu wa Vyombo vya Habari Jamii
Mshehereshaji kwenye madhimisho ya siku ya redio duniani, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua rasmi maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Arusha
Vyombo vya habari hususan redio za jamii zimetakiwa kutanguliza uzalendo na kutetea maslahi ya taifa ili kuliepusha taifa katika migogoro na mitafaruku inayoweza kusababisha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04atJJlc1wjeHZ9uM*hKH0h6oo1VMt7iDuZUZLw*b8875PdBlwL4FD9osvxNBoGpwYaCa21Q-*8M4bLbgc3b00kn0/mahaba.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -8
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqzNjOhsfnnXgiyUwogvM8LxKgCtolEcnG7Xx-HAeGLX5ijCYnu3aiclzPczIoA1ppoQL*zPfnzpvV4X2yn6VbCA/mahaba.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -7
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZZ998HpYfJfdvdrIbUpJ5icyKWXYPMhmXKda-kDQK06RB6AE8WNooKGv-oSoDy0wFC*JdXuNw2kvSdMhfwGPUzv/mahaba.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq19J3MU9FjIvdXTPbuDa9NRtxadDu*Kbn2qL6H*TJ5zoLmGx88-cEgepM8T1nh3Kt-9RGyFdl2Gz7M4iIfjFDNyB/lv.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -3
11 years ago
MichuziWafanyakazi Ruvuma watakiwa kutimiza wajibu na kisha kudai haki