Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC akataa Kiingereza kwenye warsha

MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone juzi alilmtaka mshereheshaji katika warsha ya wadau wa rasimu ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji Bonde la Kati kuacha kuendesha utambulisho wa wajumbe hao kwa lugha ya Kiingereza badala yake atumie Kiswahili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida akataza warsha kuendeshwa kwa kiingereza

 DSC01334

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye ufunguaji wa warsha ya wadau kujadili rasimu ya mwisho ya taarifa ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji wa bodi ya maji ya bonde la kati, liyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aquar Vitae hotel mjini Singida.

Na Abby Nkungu, Singida

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone alilazimika kumtaka mshereheshaji katika Warsha ya Wadau wa Rasimu ya Mpango wa Usimamizi na Uendelezaji wa pamoja wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Natasha: Majina ya Kiingereza kwenye filamu yana mvuto

NatashaMWIGIZAJI wa siku nyingi nchini, Susan Humba ‘Natasha’, amesema wazalishaji wa filamu wengi wa Tanzania walikuwa wakitumia majina ya Kiingereza kwenye filamu zao kwa madai kwamba huvutia yanapotamkwa tofauti na ya Kiswahili.

“Wazalishaji wa filamu hizo walikuwa wakidai kwamba majina hayo huvutia kutamkwa mfano ‘My love’, inavuta na inatamkika vema kuliko ‘Mpenzi wangu’.

Hata hivyo, alieleza kwamba miaka ya sasa wengi wamebadilisha hulka hiyo na kutumia majina ya Kiswahili yenye maana husika...

 

10 years ago

Michuzi

Warsha ya Sanaa na Harakati kwenye Jamii yaanza kufanyika jijini Dar es Salaam

Nafasi Art Space kwa kushirikiana na Tunawea leo wameendesha Warsha ya siku mbili ya Sanaa na Harakati iliyowakutanisha baadhi ya Wasanii, Waandishi wa Wanaharakati nchini Tanzania ambapo Mpiga picha na Mwanaharakati Boniface Mwangi kutoka Kenya ndio mwezeshaji katika warsha hiyo Mpiga picha na Mwanaharakati Boniface Mwangi kutoka Kenya, akizungumza na washiriki wa warsha hiyo Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo wakifuatilia mada mbalimbali Mpiga picha na Mwanaharakati Boniface Mwangi kutoka...

 

10 years ago

GPL

WARSHA YA SANAA NA HARAKATI KWENYE JAMII YAANZA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM‏

 Mpiga picha na Mwanaharakati Boniface Mwangi kutoka Kenya, akizungumza na washiriki wa warsha hiyo.  Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo wakifuatilia mada…

 

10 years ago

Dewji Blog

Maisha Lab kuendesha warsha ya Uandishi wa filamu kwenye tamasha la ZIFF mwaka huu

oie_1083944smwedxaa

NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG

Tayari Maisha Lab ya Uganda wametangaza kupokea maombi ya  wanaotaka kushiriki katika warsha maalum ya uandishi wa filamu itakayofanyika visiwani Zanzibar wakati wa tamasha la Filamu za Nchi za Majahazi maarufu kama ZIFF,  kuanzia tarehe 18 hadi 25.

Hata hivyo, maombi toka kwa wanaotaka kushiriki katika warsha hii yameanza kupokewa na mwisho wa maombi ni tarehe 13 Juni, mwaka huu.

Warsha za Maisha Lab zimekuza vipaji vya waandishi wa filamu na wakurugenzi wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Warsha ya muziki wa Samba Regge na Sarakasi kuhitimishwa kesho kwenye Uwanja wa Kasulu, Mburahati kwa Jongo

unnamed

Mkufunzi wa Ngoma za Samba regge, Manni Spaniol akimwelekeza mmoja wa watoto wanaoshiriki warsha ya fit for life iliyoandaliwa na kituo cha Baba watoto cha Mburahati kwa Jongo, Jijini Dar es Salaam.

unnamed (1)

Mkufunzi wa ndani, Mwajabu Omari akimwelekeza namna ya kufanya sarakasi mmoja wa watoto wanaoshirika kwenye warsha ya sarakasi na ngomba za samba regge iliyoandaiwa na kituo cha Baba Watoto.

unnamed (2)

Mafunzo ya Sarakasi.

unnamed (3)

unnamed (4)

unnamed (5)

Wanafunzi na wakufunzi wakifanya mazoezi ya kujiandaa na onyesho la muziki wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?

Suala la matumizi ya lugha Tanzania limeleta ushindani mzito kati ya Kiswahili na Kiingereza.

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA

  Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania ,Kelvin Twissa akitoa mada juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati hapo jana. Warsha hiyo iliandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom.Kushoto ni muongozaji  wa mada Felix Mlaki  na Katikati ni Mtaalamu toka Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)Moreme Marwa.  Mmoja wa...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA‏

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania ,Kelvin Twissa akitoa mada juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati hapo jana. Warsha hiyo iliandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom.Kushoto ni muongozaji  wa mada Felix Mlaki  na Katikati ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani