Warsha ya muziki wa Samba Regge na Sarakasi kuhitimishwa kesho kwenye Uwanja wa Kasulu, Mburahati kwa Jongo
Mkufunzi wa Ngoma za Samba regge, Manni Spaniol akimwelekeza mmoja wa watoto wanaoshiriki warsha ya fit for life iliyoandaliwa na kituo cha Baba watoto cha Mburahati kwa Jongo, Jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi wa ndani, Mwajabu Omari akimwelekeza namna ya kufanya sarakasi mmoja wa watoto wanaoshirika kwenye warsha ya sarakasi na ngomba za samba regge iliyoandaiwa na kituo cha Baba Watoto.
Mafunzo ya Sarakasi.
Wanafunzi na wakufunzi wakifanya mazoezi ya kujiandaa na onyesho la muziki wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziYALIYOJIRI KWENYE ONYESHO LA MUZIKI WA SAMBA REGGE NA SAKARASI LILILOFAYIKA MBURAHATI KWA JONGO
11 years ago
GPLWARSHA YA KUJENGA UWEZO WA MUZIKI NA SARAKASI KWA WATOTO NA VIJANA YATOLEWA
10 years ago
Vijimambo20 Mar
KINANA AWA SHUJAA ARUSHA MJINI KUHUTUBIA WANANCHI KESHO KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-cQr_0lxHmzg%2FVQwmRekKlFI%2FAAAAAAAAYgU%2FhTEmo-M6xWo%2Fs1600%2F01.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-kjrf-EyX2UY%2FVQwmUsztIRI%2FAAAAAAAAYgc%2Fd3hgMu5_x08%2Fs1600%2F3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-znuC6_U-vYs%2FVQwmXkeduoI%2FAAAAAAAAYgo%2FZwoPDcd-IF8%2Fs1600%2F6.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-RgguMVF1jmI%2FVQwmYO9h7RI%2FAAAAAAAAYgs%2FLpKbXzOqUwk%2Fs1600%2F7.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
CloudsFM02 Jun
MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI KWA MIAKA MINNE KUZIKWA KWA HESHIMA ZOTE,KUAGWA KATIKA UWANJA WA JAMHURI,MOROGORO
Msiba wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa miaka minne, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, imeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini.
Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa hospitali hiyo, Aminiel Aligaeshi.
Mwishoni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgVBKrw6g5c/VKWPKoanmjI/AAAAAAAG644/yk62JanmAsQ/s72-c/download.jpg)
friends rangers vs African lyon jino kwa jino uwanja wa karume kesho
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Oct
RC akataa Kiingereza kwenye warsha
MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone juzi alilmtaka mshereheshaji katika warsha ya wadau wa rasimu ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji Bonde la Kati kuacha kuendesha utambulisho wa wajumbe hao kwa lugha ya Kiingereza badala yake atumie Kiswahili.
10 years ago
VijimamboUZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI NI KESHO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM MAANDALIZI YAMEKAMILIKA WANA MUZIKI LULUKI KUTOA BURUDANI WANDUGU SAIDIA TUTANI UZINDUZI RASMI NI KESHO