RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jan
IGP aahidi kukomesha uhalifu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema ipo changamoto kubwa ya kukabili uhalifu na kusema atajitahidi kuhakikisha hilo linafanikiwa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jUOugGGm79Q/VBfXEnhn8rI/AAAAAAAGj2s/b3hfJ7m9Frs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
AFANDE SUZAN KAGANDA APOKEA ASKARI WAPYA 75 TABORA, ATOA TAARIFA YA UHALIFU MKOANI HUMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-jUOugGGm79Q/VBfXEnhn8rI/AAAAAAAGj2s/b3hfJ7m9Frs/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ytt_Fh20RkE/VBfXEnUsYrI/AAAAAAAGj2w/m43oMiy_rWI/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m7mV6P-XDfM/VBfXEge3D0I/AAAAAAAGj3E/Am5iF53BHf0/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNq8J-V88UGOw68clqP0cU*yQ-lKiylOGmRBIRk0Mv2q97skWXXokj55kgXg2mf97xetXzrzvYkbpc48ZM0V7sfa/POLISI1.jpg?width=650)
AFANDE SUZAN KAGANDA APOKEA ASKARI WAPYA 75 TABORA, ATOA TAARIFA YA UHALIFU MKOANI HUMO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zDxY1z3vIPw/Uyc1xvgosTI/AAAAAAAFUO8/LNeVhw9jGsY/s72-c/SelemanKova.jpg)
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam latimua kazi askari wanne kwa kujihusisha na uhalifu
![](http://4.bp.blogspot.com/-zDxY1z3vIPw/Uyc1xvgosTI/AAAAAAAFUO8/LNeVhw9jGsY/s1600/SelemanKova.jpg)
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limewafukuza kazi askari wake wanne waliodhibitika kujihusisha na matukio ya uhalifu, kwa mujibu wa Kamanda wa kanda hiyo Kamishna Suleiman Kova (pichani).
Kamanda Kova amesema leo jijini kuwa hatua hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa awali kubaini kuwa askari hao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu. Ameseme vitendo hivyo ni pamoja na tukio la Machi 9, 2014 ambalo lilitokea eneo la Mbezi beachi ...
10 years ago
Habarileo21 Jan
RC Mwanza amuagiza DMO kuhamia hospitalini
SERIKALI mkoani hapa imemuagiza Mganga Mkuu wa wilaya ya Nyamagana (DMO) kuhamia katika Hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Butimba ili kutatua changamoto zinazoikabili hospitali hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fh6cQfbSwCQ/XmZTRqShPwI/AAAAAAALiSo/a1vlAaI6eXU3U4hpEJPRvkXdCPwDmqo2QCLcBGAsYHQ/s72-c/30200c4f-d3b2-4442-bfb9-496f994ae2af.jpg)
NAIBU WAZIRI AWESO AMUAGIZA MKURUGENZI RUWASA KUKAGUA JUMUIYA ZOTE ZA MAJI NCHINI
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imeuagiza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kufanya mapitio ya tathimini ili kuzifuta Jumuiya za Maji ambazo zimeshindwa kuhudumia wananchi.
Agizo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso wakati akizungumza na mameneja Ruwasa wa Wilaya na Mikoa yote ya Tanzania bara katika mkutano wa mrejesho wa uhakiki na tathimini ya utekelezaji wa mpango wa malipo kwa matokeo awamu ya nne.
Mhe Aweso amesema kumekuepo na...
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
RPC Tarime matatani
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime Rorya, Justus Kamugisha, anatumia madaraka yake vibaya kumnyanyasa askari wake, G. 2751 PC. Japhet Samwel, aliyeumia mkono akiwa kazini mgodini Nyamongo. Licha ya...