Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

IGP aahidi kukomesha uhalifu

MKUU wa Jeshi la Polisi, Ernest ManguMKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema ipo changamoto kubwa ya kukabili uhalifu na kusema atajitahidi kuhakikisha hilo linafanikiwa.

 

10 years ago

Michuzi

AFANDE SUZAN KAGANDA APOKEA ASKARI WAPYA 75 TABORA, ATOA TAARIFA YA UHALIFU MKOANI HUMO

 Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP - Suzan Kaganda amewapokea askari 75 wa awamu ya kwanza walioripoti mkoani Tabora wakitokea Chuo Cha Polisi Moshi baada ya kuhitimu  mafunzo ya awali ya Polisi. Kamanda aliwataka askari hao kufanya kazi kwa weledi katika utendaji kazi pamoja na Nidhamu ya hali ya juu.  
 Askari wapya wakimsikiliza Afande Suzan Kaganda alipowapokea  mkoani Tabora wakitokea Chuo Cha Polisi Moshi 
  Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP - Suzan Kaganda amewapokea askari 75 wa...

 

10 years ago

GPL

AFANDE SUZAN KAGANDA APOKEA ASKARI WAPYA 75 TABORA, ATOA TAARIFA YA UHALIFU MKOANI HUMO

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP - Suzan Kaganda amewapokea askari 75 wa awamu ya kwanza walioripoti mkoani Tabora wakitokea Chuo Cha Polisi Moshi baada ya kuhitimu  mafunzo ya awali ya Polisi. Kamanda aliwataka askari hao kufanya kazi kwa weledi katika utendaji kazi pamoja na Nidhamu ya hali ya juu.   Askari wapya wakimsikiliza Afande Suzan Kaganda alipowapokea … ...

 

11 years ago

Michuzi

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam latimua kazi askari wanne kwa kujihusisha na uhalifu


Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limewafukuza kazi askari wake wanne waliodhibitika kujihusisha na matukio ya uhalifu, kwa mujibu wa  Kamanda wa kanda hiyo Kamishna Suleiman Kova (pichani).
Kamanda Kova    amesema leo jijini kuwa hatua hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa awali kubaini kuwa askari hao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu.  Ameseme vitendo hivyo ni pamoja na tukio la Machi 9, 2014 ambalo lilitokea eneo la Mbezi beachi ...

 

10 years ago

Habarileo

RC Mwanza amuagiza DMO kuhamia hospitalini

SERIKALI mkoani hapa imemuagiza Mganga Mkuu wa wilaya ya Nyamagana (DMO) kuhamia katika Hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Butimba ili kutatua changamoto zinazoikabili hospitali hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI AWESO AMUAGIZA MKURUGENZI RUWASA KUKAGUA JUMUIYA ZOTE ZA MAJI NCHINI


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imeuagiza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kufanya mapitio ya tathimini ili kuzifuta Jumuiya za Maji ambazo zimeshindwa kuhudumia wananchi.

Agizo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso wakati akizungumza na mameneja Ruwasa wa Wilaya na Mikoa yote ya Tanzania bara katika mkutano wa mrejesho wa uhakiki na tathimini ya utekelezaji wa mpango wa malipo kwa matokeo awamu ya nne.

Mhe Aweso amesema kumekuepo na...

 

11 years ago

Michuzi

KIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI


Kisha safari ya kwenda Kituoni ikaanza. Ghafla Mkude baada ya kuona kamera ya globu ya jamii inammulika alimuamuru askari mwenzake kuikamata ,alakini hata hivyo askari yule alifahamu kuwa Globu ya jamii pia iko kazini kama walivyo wao. Mzobe mzobe ukaendelea kupita katikati ya kituo kikuu cha mabasi huku mbinje za kutosha toka kwa wakatisha tiketi na wapiga debe zikirindima. Askari Polisi.Mkude akafanikiwa kuwatia mikononi askari wa manispaa ya Moshi wanaoshughulika na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RPC Tarime matatani

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime Rorya, Justus Kamugisha, anatumia madaraka yake vibaya kumnyanyasa askari wake, G. 2751 PC. Japhet Samwel, aliyeumia mkono akiwa kazini mgodini Nyamongo. Licha ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani