Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Mwanza amuagiza DMO kuhamia hospitalini

SERIKALI mkoani hapa imemuagiza Mganga Mkuu wa wilaya ya Nyamagana (DMO) kuhamia katika Hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Butimba ili kutatua changamoto zinazoikabili hospitali hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Producer Tiddy Hotter wa One Love Fx ya Mwanza atangaza kuhamia Dar na kufungua studio nyingine

tiddy hotter

Producer aliyetengeneza singles kama ‘Listen’ ya Belle 9, ‘Mwambie Mwenzio’ ya stamina, ‘Nisome’ ya Godzila na G-nako na nyingine kadhaa, Tiddy Hotter ametangaza kuhamisha makazi yake jijini Dar es salaam kutoka jijini mwanza.

tiddy hotter

Tiddy ambaye anamiliki studio ya One Love FX ya Mwanza amesema kuwa pia anafungua studio nyingine Dar, na ile ya mwanza itaendelea kuwepo.

Producer huyo ameitaja sababu kubwa ya kurudi Dar ambako alianzia kabla ya kwenda kufungua studio Mwanza, “Nimeona nisogee...

 

5 years ago

Michuzi

DC KASESELA: MARUFUKU SHEREHE ZA HARUSI BILA KIBALI CHA DMO

Mkuu wa wilaya ya iringa Richard Kasesela akitoa maagizo kwa wadau wa sekta ya afya juu ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya CoronaMkurugenzi wa  kiwanda cha uzalishaji wa maziwa kampuni ya Asas mkoani Iringa Ahmed Asas na wadau wengine wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akitoa maagizo juu ya virusi vya Corona.
Na Frendy Mgunda IringaSERIKALI ya wilaya ya Iringa imepiga marufuku sherehe zote harusi ambazo hazina kibali maalumu kutoka kwa Mganga mkuu wa wilaya (DMO)...

 

9 years ago

Mwananchi

RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI AWESO AMUAGIZA MKURUGENZI RUWASA KUKAGUA JUMUIYA ZOTE ZA MAJI NCHINI


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imeuagiza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kufanya mapitio ya tathimini ili kuzifuta Jumuiya za Maji ambazo zimeshindwa kuhudumia wananchi.

Agizo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso wakati akizungumza na mameneja Ruwasa wa Wilaya na Mikoa yote ya Tanzania bara katika mkutano wa mrejesho wa uhakiki na tathimini ya utekelezaji wa mpango wa malipo kwa matokeo awamu ya nne.

Mhe Aweso amesema kumekuepo na...

 

10 years ago

Vijimambo

MBOWE ATOKA HOSPITALINI

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na MaendeleoMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe .
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.

Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanafunzi ajinyonga hospitalini

Mwanafunzi wa kidato cha tano katika Sekondari ya Ihungo mkoani Kagera, Ezra Gerald (20) amejinyonga kwa shuka hadi kufa akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, huku akiacha ujumbe kuwa alilazwa bila kupimwa.

 

11 years ago

GPL

RAY C SIKU 730 HOSPITALINI

Stori: makongoro oging’
IMEELEZWA kwamba, nyota wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ (pichani) anatakiwa kuendelea kuhudhuria kliniki kila siku katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kwa siku 730 (miaka miwili) bila kukosa hata siku moja kufuatia athari ya matumizi ya madawa ya kulevya kinyume cha hapo ni kuhatarisha maisha yake. Nyota wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ Taarifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Fernando Alonso: atoka hospitalini

Dereva wa timu ya Mclaren fernando alonso ametoka hospitali baada ya kupata ahueni kufuatia kupata ajali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini

Serikali ya Sierra Leone imeonya kuwa ni hatia kumpa hifadhi mtu yeyote aliyeambukizwa virusi vya Ebola na ambaye ametoroka hospitalini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani