RC Mwanza amuagiza DMO kuhamia hospitalini
SERIKALI mkoani hapa imemuagiza Mganga Mkuu wa wilaya ya Nyamagana (DMO) kuhamia katika Hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Butimba ili kutatua changamoto zinazoikabili hospitali hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Nov
Producer Tiddy Hotter wa One Love Fx ya Mwanza atangaza kuhamia Dar na kufungua studio nyingine
![tiddy hotter](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tiddy-hotter-300x194.jpg)
Producer aliyetengeneza singles kama ‘Listen’ ya Belle 9, ‘Mwambie Mwenzio’ ya stamina, ‘Nisome’ ya Godzila na G-nako na nyingine kadhaa, Tiddy Hotter ametangaza kuhamisha makazi yake jijini Dar es salaam kutoka jijini mwanza.
Tiddy ambaye anamiliki studio ya One Love FX ya Mwanza amesema kuwa pia anafungua studio nyingine Dar, na ile ya mwanza itaendelea kuwepo.
Producer huyo ameitaja sababu kubwa ya kurudi Dar ambako alianzia kabla ya kwenda kufungua studio Mwanza, “Nimeona nisogee...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200317_110813.jpg)
DC KASESELA: MARUFUKU SHEREHE ZA HARUSI BILA KIBALI CHA DMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110813.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y8vUARLzwnc/XnDFAd-NydI/AAAAAAAAHto/vhuduFEl-DQJfO0Flgi4a2x_Fqu48y1oACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110913.jpg)
Na Frendy Mgunda IringaSERIKALI ya wilaya ya Iringa imepiga marufuku sherehe zote harusi ambazo hazina kibali maalumu kutoka kwa Mganga mkuu wa wilaya (DMO)...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fh6cQfbSwCQ/XmZTRqShPwI/AAAAAAALiSo/a1vlAaI6eXU3U4hpEJPRvkXdCPwDmqo2QCLcBGAsYHQ/s72-c/30200c4f-d3b2-4442-bfb9-496f994ae2af.jpg)
NAIBU WAZIRI AWESO AMUAGIZA MKURUGENZI RUWASA KUKAGUA JUMUIYA ZOTE ZA MAJI NCHINI
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imeuagiza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kufanya mapitio ya tathimini ili kuzifuta Jumuiya za Maji ambazo zimeshindwa kuhudumia wananchi.
Agizo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso wakati akizungumza na mameneja Ruwasa wa Wilaya na Mikoa yote ya Tanzania bara katika mkutano wa mrejesho wa uhakiki na tathimini ya utekelezaji wa mpango wa malipo kwa matokeo awamu ya nne.
Mhe Aweso amesema kumekuepo na...
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MBOWE ATOKA HOSPITALINI
![Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2830476/highRes/1089166/-/maxw/600/-/u4gjjw/-/pic+mbowe.jpg)
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mwanafunzi ajinyonga hospitalini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIMM0nQ11N7ns8i0vzcWio9rI18iUWGhNfwQXlrFsQ9gwC1xSKvkE334By2Lv6yHUM2LiqzSuGWz-etHMsGbJZc/rayc.jpg)
RAY C SIKU 730 HOSPITALINI
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Fernando Alonso: atoka hospitalini
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini