Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC chupuchupu kuhadaiwa

MKUU wa Mkoa wa Katavi , Dk Rajab Rutengwe ametoa ushuhuda wake jinsi alivyoponea chupuchupu, kuhadaiwa na mkazi wa mjini Mpanda jana asubuhi, ambayo ilikuwa Siku ya Wajinga Duniani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sikubaliwi kuhadaiwa na ahadi za kupewa manna na salwa

Wiki hii, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid, alikikwaa kisiki cha mpingo pale wabunge wanawake walipochachamaa wakitaka bajeti ya afya iongezwe kwa sababu iliyopo haikidhi haja.

 

11 years ago

Mwananchi

Madiwani Mbozi ‘chupuchupu’

Madiwani wa CCM wilayani hapa juzi walinusurika kupokonywa wadhifa huo kwa tuhuma za uzembe na kutowabana watendaji wanaoisababishia halmashauri hiyo kupata hati chafu kwa miaka mitatu mfululizo.

 

11 years ago

GPL

MREMBO CHUPUCHUPU KUBAKWA

Stori: Musa Mteja
Msichana mrembo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, hivi karibuni aliponea chupuchupu kubakwa baada ya kuzidiwa na kilevi na kuangukia mikononi mwa wanaume wakware. Mrembo ( jina halikufahamika mara moja) akiwa hoi baada ya kufakamia pombe kwa wingi. Tukio hilo lilijiri mjini Iringa kwenye Uwanja wa Samora kulikokuwa na Tamasha la Fiesta ambapo awali msichana huyo alionekana akicheza kihasara...

 

11 years ago

GPL

CHUPUCHUPU BASI KUUA

Toyota Coster 'Daladala'  inayofanya kazi kutoka Buguruni na Temeke likiwa mtaroni baada ya kugongwa na Scania (haipo pichani) ajali hiyo chupuchupu kuua watu na ikawaacha baadhi majeruhi. Wananchi wakisadia kuondoa daladala kwenye mtaro. Askari…

 

10 years ago

Habarileo

Coutinho chupuchupu Yanga

MASHABIKI wa Yanga wamemwokoa kiungo Mbrazili Andrey Coutinho asitemwe baada ya kumpigia simu Mwenyekiti wao Yusuf Manji, ambaye aliamuru mchezaji huyo asiachwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba chupuchupu Mbeya

Mbeya City wamepoteza nafasi ya kukalia usukani wa Ligi Kuu baada ya kulazimishwa sare 1-1 na Simba jana kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaponea chupuchupu

Timu ya Simba, jana iliponea chupuchupu kuchapwa na Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Mrogoro.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanasheria Mkuu Z’bar chupuchupu

MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amejikuta akipata wakati mgumu bungeni ambapo askari wa Bunge walilazimika kumlinda na kumficha katika baadhi ya vyumba vilivyopo ndani ya ukumbi.

 

10 years ago

GPL

DIANA KIMARO CHUPUCHUPU KUBAKWA

 Diana Kimaro ‘Pacha wa Lulu’ Kisa pombe! Habari ya kushtua inaeleza kwamba, mwigizaji katika tasnia ya filamu Bongo, Diana Kimaro ‘Pacha wa Lulu’ amekiri kunusurika kubakwa na msanii mwenye hadhi na ‘taito’ kubwa katika gemu la sanaa Bongo (hakumtaja), chanzo kikiwa ni ulabu. Akizungumza na Ijumaa Wikienda jijini Dar, wikiendi iliyopita, Diana alifunguka kuwa, tukio hilo lilijiri maeneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani