Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Gallawa kubariki Miss Tanga

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Luteni mstaafu Chiku Gallawa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka mrembo wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 kwenye hoteli ya Mkonge Juni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

DC Gambo kubariki Redds Miss Ilala Talent

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la vipaji ‘Miss Talent’ kwa warembo wa Redd’s Miss Ilala litakalofanyika ukumbi wa Rio Gym,...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI MISS TANGA 2014

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Mheshimiwa Chiku Gallawa
Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014
Kumekucha Tanga…

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI NICE & LOVELY MISS TANGA 2014

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Mheshimiwa Chiku Gallawa atakuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka mrembo wa mkoa huo, Nice & Lovely Miss Tanga 2014 siku ya jumamosi tarehe 21/06/2014, shindano ambalo litafanyika Mkonge Hotel.   Mkurugenzi wa kampuni ya Mac D Promotions ambao ndio waandaaji wa shindano hilo, Irene Rweyunga amesema kuwa, Mkuu wa Mkoa wa Tanga amekubali kuwa mgeni rasmi, napia amepongeza maandalizi makubwa yaliyofanyika katika kuliandaa shindano hilo ambalo...

 

11 years ago

Michuzi

NICE & LOVELY MISS TANGA 2014 WAFANYA USAFI OFISI YA MKUU WA MKOA TANGA

Warembo wanaowania taji la mkoa wa Tanga, Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakijiaandaa kufanya usafi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, ikiwa ni moja ya kampeni ya kuendelea kulifanya jiji hilo liwe safi muda wote. Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakitupa takataka katika gari maalum la kubeba taka. Mshindi wa kwanza katika shindano hilo atapata zawadi ya gari dogo aina ya Toyota Vitz. Zoezi la usafi limepamba moto na kuliacha eneo hilo safi kabisa. Mgeni rasmi katika...

 

10 years ago

GPL

LUNDENGA, MISS TANGA WAZICHAPA

Na Deogratius Mongela KW/RB/8441/2014 imemshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga kwa madai ya kuzichapa na Miss Tanga 1997, Mona Faraja ambaye pia ni mke wake na kumsababishia majeraha, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori. Miss Tanga 1997, Mona Faraja anayedaiwa kujeruhiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga. Ishu hiyo iliyonyakwa laivu na majirani ilijiri usiku wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miss Tanga 2014 wafundwa

KATIKA kuelekea kinyang’anyiro cha kumsaka Nice&Lovely Miss Tanga 2014, washiriki wametakiwa kujiamini na kuongeza juhudi ili waweze kufanya vizuri katika fainali za shindano hilo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mkonge,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diana ndiye Miss Tanga 2014

MREMBO Diana Theojackson amenyakua taji ya Nice &Lovely Miss Tanga 2014 na kuzawadiwa gari aina ya Toyota Vitz lenye thamani ya sh milioni kumi. Shindano hilo lilifanyika juzi usiku na...

 

11 years ago

Mwananchi

Miss Tanga aliyejikita kwenye muziki

Zubeida Seif maarufu kwa jina la Zoo Montanah, huenda siyo jina geni miongoni mwa wadau wa urembo nchini kwani alijizolea umaarufu, baada ya kutwaa taji la urembo la Miss Chumbageni, Miss Tanga na kisha Miss Kanda ya Kaskazini

 

11 years ago

Michuzi

MISS TANGA 2014 WATEMBELEA MWAMBAO FM

Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 jana walitembelea kituo cha matangazo cha redio Mwambao Fm cha jijini Tanga kujionea jinsi kituo hicho kinavyorusha matangazo yake.
Wakiwa katika kituo hicho, warembeo hao walipata fursa ya kuzungumzia shindano hilo huku kila mmoja akitamba kuibuka mshindi siku ya jumamosi ya tarehe 21/06/2014 ndani ya Mkonge Hotel kuanzia saa moja usiku.
Baadaye leo washiriki hao watatembelea kituo cha redio cha Breeze Fm pia cha jijini Tanga na kesho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani