Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Real Madrid waondolewa Copa del Rey

Klabu ya Real Madrid imefurushwa kutoka michuano ya Copa del Rey kwa kumchezesha mchezaji aliyekuwa akitumikia marufuku Jumatano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Real Madrid ni mabingwa wa Copa del Rey

Bao la dakika za mwisho la Gareth Balelaisaidia Real Madrid kuilaza Barcelona 2-1 na Kunyanyua Kombe la Mfalme

 

9 years ago

Mtanzania

Real Madrid kufungiwa kushiriki Copa del Rey

realMADRID, HISPANIA

KLABU ya Real Madrid inawezekana ikafungiwa kushiriki Kombe la Copa del Rey baada ya kumtumia mchezaji wake, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa anatakiwa kutumikia kadi tatu za njano ambazo alioneshwa msimu uliopita.

Katika mchezo huo wa juzi, Madrid walifanikiwa kushinda mabao 3-1 dhidi ya Cadiz, huku Cheryshev akipachika bao la kwanza kabla ya Isco kuongeza mabao mawili.

Rais wa klabu ya Cadiz, Manuel Vizcaino, amesisitiza kuwa lazima atoe taarifa kwa chama cha soka nchini...

 

9 years ago

BBCSwahili

Real Madrid wapoteza rufaa Copa del Rey

Real Madrid wamepoteza rufaa yao dhidi ya uamuzi wa shirikisho la soka la Uhispania wa kuwaondoa michuano ya Copa del Rey.

 

9 years ago

Bongo5

Real Madrid waondolewa mashindano ya ‘Copa Del Rey’ kwa kumchezesha mchezaji Denis Cheryshev

denis-cheryshev-real-madrid_3384298

Klabu ya Real Madrid imeondolewa katika michuano ya Copa del Rey kwa kumchezesha mchezaji ambaye hakufaa kuchezeshwa wakati wa mechi yao dhidi ya Cadiz Jumatano.

deni

Mchezaji huyo, Denis Cheryshev, ndiye aliye funga goli la kwanza katika mechi ya Real ilishinda 3-1.

Winga huyo wa Urusi alifaa kuwa akitumikia marufuku, aliyopewa alipokuwa Villarreal kwa mkopo.

Lakini yeye na klabu yake ya Real, wanasema hawakujuzwa hilo kabla ya mechi hiyo.

Klabu hiyo imesema itachukua “hatua ifaayo”...

 

9 years ago

Mtanzania

Madrid kunusurika kifungo Copa del Rey

25586MADRID, HISPANIA

RAIS wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez, amesema timu yake ipo salama na itaendelea kushiriki michuano ya Copa del Rey, japokuwa ilimtumia mchezaji ambaye alitakiwa kutumikia kadi za njano ambazo alipewa mwishoni mwa msimu uliopita.

Katika mchezo wa katikati ya wiki hii, Madrid walimtumia mchezaji wao, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa na kadi tatu za njano katika mchezo wa mwisho msimu uliopita, hivyo alitakiwa asicheze katika mchezo wa Jumatano wiki hii, lakini Madrid...

 

5 years ago

Managing Madrid

Odegaard scores game-winning goal in first leg of the Copa Del Rey semi-final

Odegaard scores game-winning goal in first leg of the Copa Del Rey semi-final  Managing MadridReal Sociedad edge closer to all-Basque Spanish Cup final  BeSoccer ENAnd what if Barcelona sign Matheus?  MARCA.comReal Sociedad 2-1 Mirandes: Martin Odegaard secures narrow first-leg lead in Copa del Rey semis  Goal IndiaMartin Odegaard, Real Sociedad Beat Mirandes in Leg 1 of Copa del Rey Clash  Bleacher ReportView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani