Real Madrid ni mabingwa wa Copa del Rey
Bao la dakika za mwisho la Gareth Balelaisaidia Real Madrid kuilaza Barcelona 2-1 na Kunyanyua Kombe la Mfalme
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Real Madrid waondolewa Copa del Rey
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Real Madrid wapoteza rufaa Copa del Rey
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Real Madrid kufungiwa kushiriki Copa del Rey
MADRID, HISPANIA
KLABU ya Real Madrid inawezekana ikafungiwa kushiriki Kombe la Copa del Rey baada ya kumtumia mchezaji wake, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa anatakiwa kutumikia kadi tatu za njano ambazo alioneshwa msimu uliopita.
Katika mchezo huo wa juzi, Madrid walifanikiwa kushinda mabao 3-1 dhidi ya Cadiz, huku Cheryshev akipachika bao la kwanza kabla ya Isco kuongeza mabao mawili.
Rais wa klabu ya Cadiz, Manuel Vizcaino, amesisitiza kuwa lazima atoe taarifa kwa chama cha soka nchini...
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Madrid kunusurika kifungo Copa del Rey
MADRID, HISPANIA
RAIS wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez, amesema timu yake ipo salama na itaendelea kushiriki michuano ya Copa del Rey, japokuwa ilimtumia mchezaji ambaye alitakiwa kutumikia kadi za njano ambazo alipewa mwishoni mwa msimu uliopita.
Katika mchezo wa katikati ya wiki hii, Madrid walimtumia mchezaji wao, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa na kadi tatu za njano katika mchezo wa mwisho msimu uliopita, hivyo alitakiwa asicheze katika mchezo wa Jumatano wiki hii, lakini Madrid...
9 years ago
Bongo505 Dec
Real Madrid waondolewa mashindano ya ‘Copa Del Rey’ kwa kumchezesha mchezaji Denis Cheryshev
![denis-cheryshev-real-madrid_3384298](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/denis-cheryshev-real-madrid_3384298-300x194.jpg)
Klabu ya Real Madrid imeondolewa katika michuano ya Copa del Rey kwa kumchezesha mchezaji ambaye hakufaa kuchezeshwa wakati wa mechi yao dhidi ya Cadiz Jumatano.
Mchezaji huyo, Denis Cheryshev, ndiye aliye funga goli la kwanza katika mechi ya Real ilishinda 3-1.
Winga huyo wa Urusi alifaa kuwa akitumikia marufuku, aliyopewa alipokuwa Villarreal kwa mkopo.
Lakini yeye na klabu yake ya Real, wanasema hawakujuzwa hilo kabla ya mechi hiyo.
Klabu hiyo imesema itachukua “hatua ifaayo”...
5 years ago
Managing Madrid14 Feb
Odegaard scores game-winning goal in first leg of the Copa Del Rey semi-final
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s72-c/A%2B1.jpg)
NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s1600/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAhM32ouThs/VTeVo6yvC8I/AAAAAAAA7R0/43qXR-ySkGg/s1600/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OKmlPzhIu6E/VTeVpfjbT8I/AAAAAAAA7SA/tbFbvj5FhsU/s1600/A%2B3.jpg)
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Real Madrid mabingwa