Real Madrid waondolewa mashindano ya ‘Copa Del Rey’ kwa kumchezesha mchezaji Denis Cheryshev
Klabu ya Real Madrid imeondolewa katika michuano ya Copa del Rey kwa kumchezesha mchezaji ambaye hakufaa kuchezeshwa wakati wa mechi yao dhidi ya Cadiz Jumatano.
Mchezaji huyo, Denis Cheryshev, ndiye aliye funga goli la kwanza katika mechi ya Real ilishinda 3-1.
Winga huyo wa Urusi alifaa kuwa akitumikia marufuku, aliyopewa alipokuwa Villarreal kwa mkopo.
Lakini yeye na klabu yake ya Real, wanasema hawakujuzwa hilo kabla ya mechi hiyo.
Klabu hiyo imesema itachukua “hatua ifaayo”...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Real Madrid waondolewa Copa del Rey
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Real Madrid ni mabingwa wa Copa del Rey
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Real Madrid kufungiwa kushiriki Copa del Rey
MADRID, HISPANIA
KLABU ya Real Madrid inawezekana ikafungiwa kushiriki Kombe la Copa del Rey baada ya kumtumia mchezaji wake, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa anatakiwa kutumikia kadi tatu za njano ambazo alioneshwa msimu uliopita.
Katika mchezo huo wa juzi, Madrid walifanikiwa kushinda mabao 3-1 dhidi ya Cadiz, huku Cheryshev akipachika bao la kwanza kabla ya Isco kuongeza mabao mawili.
Rais wa klabu ya Cadiz, Manuel Vizcaino, amesisitiza kuwa lazima atoe taarifa kwa chama cha soka nchini...
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Real Madrid wapoteza rufaa Copa del Rey
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Madrid kunusurika kifungo Copa del Rey
MADRID, HISPANIA
RAIS wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez, amesema timu yake ipo salama na itaendelea kushiriki michuano ya Copa del Rey, japokuwa ilimtumia mchezaji ambaye alitakiwa kutumikia kadi za njano ambazo alipewa mwishoni mwa msimu uliopita.
Katika mchezo wa katikati ya wiki hii, Madrid walimtumia mchezaji wao, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa na kadi tatu za njano katika mchezo wa mwisho msimu uliopita, hivyo alitakiwa asicheze katika mchezo wa Jumatano wiki hii, lakini Madrid...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid …
Mapenzi ya wachezaji katika vilabu fulani barani Ulaya, imekuwa kawaida hata kama hawavichezei. December 28 klabu ya FC Barcelona imeingia kwenye headlines baada ya kumsainisha mchezaji na kisha kufuta mkataba wake masaa machache baada ya kugundua kuwa ametweet vitu ambavyo vinaihusu timu ya Real Madrid. Baada ya kufuzu majaribio na Barcelona B Sergi Guardiola alisaini […]
The post FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid … appeared first on...
5 years ago
Managing Madrid14 Feb
Odegaard scores game-winning goal in first leg of the Copa Del Rey semi-final
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...