Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RECONDITIONED TOYOTA HIACE FOR SALE

 GARI AINA YA TOYOTA HIACE, YEAR OF MAKE 1998, 3L DIESEL ENGINE, 70,000 KM,STICK SHIFT (MANUAL) INAUZWA KWA TSHS 24,500,000. HAIJAWAHI KUPATA AJALI NA INATEMBEA VIZURI NA KATIKA HALI BORA KABISA YA KUFIKA KOKOTE TANZANIA. HAIHITAJI MAREKEBISHO YOYOTE.

GARI IPO DAR ES SALAAM, TYRE ZOTE 4 NI MPYA.

PIGA SIMU NAMBA 0787783487 KWA MAELEZO ZAIDI.


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TOYOTA AVENSIS FOR SALE

TOYOTA AVENSIS SILVER D4-D, 1.8 DIESEL ENGINE, VERY ECONOMIC ON FUEL, MODEL 2005 , MANUAL, AIR CONDITIONING, 5 DOORS, IN VERY GOOD CONDITION FOR YEARS TO COME,…

 

11 years ago

Michuzi

TOYOTA RAV4 FOR SALE

TOYOTA RAV4 2.0 VXVVT-I AUTOMATICLOW MILEAGEFULL LEATHER INTERIOR
CALL: 0786 687438 0784 351686

 

11 years ago

GPL

TOYOTA AVENSIS FOR SALE!!‏

TOYOTA AVENSIS SILVER D4-D, 1.8 DIESEL ENGINE, VERY ECONOMIC ON FUEL, MODEL 2005 , MANUAL, AIR CONDITIONING, 5 DOORS, IN VERY GOOD CONDITION FOR YEARS TO COME, CAR IS IN DAR ES SALAAM , DUTY HAS BEEN PAYED PRICE IS T.SH 13,000,000 (13 MILLION) BUT ALSO NEGOTIABLE.…

 

11 years ago

GPL

BIG SALE! SALE! - PUNGUZO KUBWA LA BEI! - SACHQUES CLOTHING STORE

BIG SALE! SALE! - PUNGUZO KUBWA LA BEI! SACHQUES CLOTHING STORE - KIJITONYAMA DSM Blouse, Skirts, Blazers, Trousers - Tshs 10,000/=,  Short Dresses- 15,000/= Long Dresses & Jump Suit-25,000/= Hand Bags, Accessories na Viatu pia vipo kwenye SALE! - SIMU NAMBA +255774801316, Tupo Kijitonyama Police Mabati DSM, wa Mikoani tunatuma kwa maBasi. Tembelea www.facebook.com/SachquesClothingStore  INSTAGRAM @Sachques kuona...

 

10 years ago

Vijimambo

Hiace yaua watu 12 Arusha


Watu 12 wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Toyota Hiace (pichani) maarufu kama kipanya walikokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana majira ya saa 10 katika eneo Makumira wilayani Arumeru.

Sabas, alisema ajali hiyo ilitokea baada ya kipanya hicho aina ya Nissan T519 DBV kilichokuwa kikitokea jijini Arusha kwenda Usa River kuhama...

 

9 years ago

Mwananchi

Hiace yaua saba na kujeruhi

Watu saba wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyata Hiace lililokuwa likitokea Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Subankala wilayani Uvinza kuteketea kwa moto katika Kijiji cha Mwakizega.

 

11 years ago

Habarileo

Watu 20 wafa ajali ya Hiace

WATU 21 wamekufa na 10 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Hiace na lori. Ajali hiyo ilitokea juzi katika kijiji cha Mkupuka kata ya Kibiti wilayani Rufiji mkoani Pwani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hiace yaua mwalimu Kigoma

MWALIMU mmoja mkazi wa Mlole Manisapaa ya Kigoma Ujiji amefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Hiace yenye namba CMS 688 inayofanya safari zake Kigoma mjini kwenda Kijiji...

 

10 years ago

Habarileo

Fuso labamiza Hiace na kuua wanne

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniWATU wanne wamekufa papo hapo na wengine 11 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T196 AAW aina ya Toyota Hiace, kugongwa kwa nyuma na gari lenye namba za usajili T 430 AQQ aina ya Mitsubishi Fuso.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani