RED CROSS YASAIDIA WANAFUNZI WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU KIBAHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nkJClIDExXA/U20_mk_uGJI/AAAAAAAFglc/JQcPfVP5mgQ/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Na John Gagarini, Kibaha CHAMA cha Msalaba Mwekundu mkoani Pwani kimesema kuwa kitaendela kuisaidia jamii ambayo inauhitaji pamoja na wale wanaokumbwa na majanga mbalimbali. Hayo yamesemwa mjini Kibaha na katibu msaidizi wa chama hicho Felisiana Mmasi wakati wakitoa misaada ya viatu na vifaa vya shule kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Nyumbu na vituo vya kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu vya THADEI na Buloma vilivyopo kata ya Picha ya Ndege na Mkuza wilayani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV29 Dec
Serikali yaombwa kuwajengea makazi waishio mazingira magumu.
Na Frederick Siwale,
Njombe.
Watoto wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi mkoani Njombe wameiomba Serikali kuwajengea makazi ili kutambuliwe na kuhifadhiwa waweze kuondokana na adha ya maisha wanayokabiliana nayo hivi sasa.
Walitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti wakati kamera ya Star Tv ilipowafikia ambapo imebainika kuwa wanakutana na changamoto mbalimbali katika makazi yasiyo ya kudumu ikiwemo majumba mabovu na maeneo ya masoko.
Watoto hao ambao wengi wao ni yatima wamekuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
MELLINIUM WOMEN GROUP YASAIDIA WASICHANA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s1600/New+Picture+(7).bmp)
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda alieleza kuwa, wake wa viongozi waliguswa baada ya kukutana na Bibi. Consoler Eliya mwaka jana katika mkutano wa wanawake wajiwezeshe kiuchumi ambaye ni miongoni mwa wasichana walioishi katika mazingira magumu na kuahidi...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto waishio kwenye mazingira magumu
JAMII nchini imetakiwa kuona umuhimu na wajibu wa kuwalea na kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kufikia ndoto zao katika kimaisha. Ushauri huo umetolewa na Katibu Mtendaji wa...
10 years ago
Michuzi23 Jan
WANAHABARI WAHIMIZWA KUWASILISHA MASUALA YAHUSUYO WATOTO YATIMA NA WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
![SAM_0796](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/LbLa6GdJVrDr02GbqGGQijVGkLaNfwFwP-807qcXSux3RDKPxPRxk5fZiHRT9X3wl2R4eoPCtr5vlUhQdloNUp7rl24M3aIB7yPdWMPxZKIM5hqV9B12Q9s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/01/sam_0796.jpg?w=660)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s72-c/PIX1.jpg)
PSPF YASAIDIA KITUO CHA KULEA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU, VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s1600/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q9Wji6dYOdI/VPmRQ32K7dI/AAAAAAAAQ8E/4DphWkGjRnQ/s1600/pix11.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s72-c/IMG-20150704-WA0030.jpg)
WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s640/IMG-20150704-WA0030.jpg)
Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIjY5UMGz4Q/VZk0Ql0QpiI/AAAAAAAC8RE/iu5Ygu8kW2c/s640/IMG-20150704-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53mDpuylgNc/VZk0b3nplLI/AAAAAAAC8RM/o0tnve-XN1s/s640/IMG-20150704-WA0037.jpg)
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P2koqi_JPGs/U9EFd3efmvI/AAAAAAAF5v0/2qnVkLbaf_8/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU WA KITUO CHA CHILD IN THE SUN WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE NA TCAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2koqi_JPGs/U9EFd3efmvI/AAAAAAAF5v0/2qnVkLbaf_8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s0fgi4QraIQ/U9EFeMZ8jGI/AAAAAAAF5v8/aZVMceZnFh4/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,PINDA AWAANDALIA CHAKULA CHA MCHANA TIMU YA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU,WALIOTWAA KOMBE LA DUNIA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10