Renamo-hatutambui matokeo
Chama cha kikuu cha upinzani nchini Msumbiji cha RENAMO,kimetoa yake ya moyoni kuwa hawatayakubali matokeo yajayo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe7yii86d51CX-kURTUe2ZfOC7954r*902dXdXZ1CWb3ao-Fg8*GuenFZ25wosdJkO*JRWlGule7u*pfL1zH40dP/141015101342_mocambique_oposicao_624x351_reuters.jpg?width=650)
UCHAGUZI MSUMBIJI: RENAMO HATUTAMBUI MATOKEO
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Renamo yakubali matokeo ya uchaguzi
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
Msumbiji:Serikali na Renamo waafikiana
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Chadema: Hatutambui zuio la IGP
NA AGATHA CHARLES, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya kuahirishwa ziara ya aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, chama hicho kimesema hakilitambui zuio la kufanya maandamano na mikutano ya kisiasa lililowahi kutolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu mwezi uliopita.
Kauli ya Chadema ilitolewa jana na Ofisa Habari wa chama hicho, Tumaini Makene, baada ya kuulizwa na MTANZANIA juu ya kuwapo taarifa kuwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
UEFA:Hatutambui mechi za Crimea
9 years ago
Mwananchi25 Sep
NEC: Hatutambui ‘bao la mkono la CCM’
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mHdm4GoDeVI/VWByekXv9sI/AAAAAAAAuRE/irzrWv6prgU/s72-c/lemutu.jpg)
Lemutuz: Aliyevuruga Matokeo ya Jana Tuzo za Watu Yupo Busy Pia Kuvuruga Matokeo ya KTMA, Nitamtaja Laivu
![](http://4.bp.blogspot.com/-mHdm4GoDeVI/VWByekXv9sI/AAAAAAAAuRE/irzrWv6prgU/s640/lemutu.jpg)
lemutuz_nation 'Well, huwa ninaongea na FACTS with EVIDENCE toka jana Usiku nimesema I smell fish kama nilivyo smell Fishy kwenye matokeo ya Miss Tanzania ya Mwaka jana kuna wajinga akili ndogo walioanza kunirushia matusi LE AKILI KUBWAZZZZ now ninasema jana HAKI HAIKUTENDEKA kuna wanaojaribu kuninyamazisha na matusi...great ninarudia tena sikuenda Shule kuwa mjinga so toka jana niliingia kwenye uchunguzi wa FACTS and EVIDENCE of WHO IS BEHIND LAST NIGHT MESS tayari nimeshaanza kupata...
9 years ago
VijimamboKIWIA AKANUSHA KUZIMIA BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA. ASEMA ANATARAJIA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI KWANI BADO HAJASAINI MATOKEO.
Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza na Mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Highness Kiwia, anatarajia kufungua kesia ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimboni humo kwa madai kwamba haukuwa wa huru na haki kutokana na kugubikwa na changamoto mbalimbali.
Kiwia ambae ameshindwa kutetea jimbo hilo baada kuchukuliwa na Angelina Mabula kutoka Chama cha Mapinduzi CCM,...