RESOLUTION YAANDAA TAMASHA LA WANAMAZOEZI KINONDONI
Kampuni ya Bima za Afya ya Resolution leo hii iliandaa tamasha maalum la wanamazoezi wa wilaya ya Kinondoni lililofanyika katika Viwanja Vya Leaders Club. Tamasha hilo lilihudhiriwa na umati wa watu wengi wanaofanya mazoezi ya kukimbia taratibu kwa afya maarufu kama “Jogging”.
Wakimbiaji katika maeneo mbalimbali jijini Dar Es Salaam hujiunga kwa pamoja na kuanzisha vilabu vyao kwa lengo la kufanya mazoezi haya kwa pamoja. Vilabu hivi maarufu kama “Jogging Clubs” husaidia kuhamasisha wajumbe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Doris Mollel Foundation (DMF) yaandaa tamasha kubwa la kusaidia watoto Njiti nchini, Nov 8 Leaders Club
Mwenyekiti wa Mfuko wa Doris Mollel Foundation, Bi. Doris Mollel akiwakaribisha wageni mbalimbali na wanahabari wakati wa utambulisho maalum juu ya tamasha linalotarajiwa kufanyika siku ya Jumapili Novemba 8, katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Afya, uzazi na watoto, Bi. Georgina Msemo na kulia kwake ni Dk. Sonal Peter ambaye ni daktari wa watoto (Pediatrician) kutoka Hospitali ya Agha Khan. (Picha zote na Andrew Chale,...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VDBe59uSkWw/U-i5YYIv_PI/AAAAAAACnOI/uR0MjtEkwIo/s72-c/3.jpg)
Kinondoni kutoa Redd’s Miss Kinondoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-VDBe59uSkWw/U-i5YYIv_PI/AAAAAAACnOI/uR0MjtEkwIo/s1600/3.jpg)
Lucy alisema ana uhakika huo mkubwa kutokana na kuwaona washiriki wa Redd’s Miss Kinondoni na kuona wana vigezo vyote vya kulitwaa taji hilo. Mrembo huyo ambaye atakabidhi taji la Redd’s Miss Kinondoni mwishoni mwa wiki alisema, ana uhakika huo kutokana na uzoefu alioupata wakati akishiriki Redd’s Miss Kinondoni.
“Taji lazima lirudi nyumbani, warembo wa...
11 years ago
TheCitizen07 Feb
MUSINGS: My new year resolution to end all others
10 years ago
TheCitizen29 Dec
2015 resolution is to have a beer on the moon
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
New Year Resolution; Start Buying and Selling Online
As we enter the 3rd week of January, we are sure that many of you have put down your New Year resolutions which you are looking forward to accomplishing, and we sure hope you do.
Have any of you thought of changing the way you usually buy or sell? Ditching the traditional retail process? Make buying and selling online one of your new resolutions today, the good thing about this is that it’s easy and convenient. You are definitely going to buy something new this year to start off the year...
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA BIMA YA RESOLUTION ILIVYOKUTANA NA WATEJA WAKE
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, Meneja Mkuu wa Resolution Insurance nchini Tanzania, Bwana Oscar Osir alisema, "Tunawashukuru sana kwamba mmehudhuria hafla hii na tunawapongeza kwa uvumilivu wenu katika mwezi huu mkuu wa Ramadhan.”.
Naye...
11 years ago
IPPmedia18 Jul
Forum proposes 15 person in CA dispute resolution team
IPPmedia
IPPmedia
A 15 person reference and dispute resolution team has been proposed for the Constitution Assembly (CA). However, it has been specified that the proposed team is to be formed if and when the boycotting members of the Coalition for people's constitution ...