Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RESOLUTION YAANDAA TAMASHA LA WANAMAZOEZI KINONDONI

Kampuni ya Bima za Afya ya Resolution leo hii iliandaa tamasha maalum la wanamazoezi wa wilaya ya Kinondoni lililofanyika katika Viwanja Vya Leaders Club. Tamasha hilo lilihudhiriwa na umati wa watu wengi wanaofanya mazoezi ya kukimbia taratibu kwa afya maarufu kama “Jogging”.
Wakimbiaji katika maeneo mbalimbali jijini Dar Es Salaam hujiunga kwa pamoja na kuanzisha vilabu vyao kwa lengo la kufanya mazoezi haya kwa pamoja. Vilabu hivi maarufu kama “Jogging Clubs” husaidia kuhamasisha wajumbe...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Doris Mollel Foundation (DMF) yaandaa tamasha kubwa la kusaidia watoto Njiti nchini, Nov 8 Leaders Club

DSC_0027

Mwenyekiti wa Mfuko wa Doris Mollel Foundation, Bi. Doris Mollel akiwakaribisha wageni mbalimbali na wanahabari wakati wa utambulisho maalum juu ya tamasha linalotarajiwa kufanyika siku ya Jumapili Novemba 8, katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni  Kaimu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Afya, uzazi na watoto,  Bi. Georgina Msemo na kulia kwake ni Dk. Sonal Peter  ambaye ni daktari wa watoto (Pediatrician) kutoka Hospitali ya Agha Khan. (Picha zote na Andrew Chale,...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ujulikanao kama Kinondoni Talent Search. Kulia ni Mwanamuziki, Peter Msechu na Emanuel Mathias ambaye ni mchekeshaji maarufu 'MC Pilipili ambao watasaidia kuratibu jinsi ya kuwatambua vijana hao katika wilaya hiyo.DC Makonda akiwa amekaa na wanakamati watakaoshughulikia  mpango huo....

 

11 years ago

Michuzi

Kinondoni kutoa Redd’s Miss Kinondoni

KUMEKUCHA! Miss Kinondoni anayemaliza muda wake, Lucy Tomeka, ametamba ni lazima mrembo wa Redd’s Miss Tanzania mwaka huu atoke Kinondoni.
Lucy alisema ana uhakika huo mkubwa kutokana na kuwaona washiriki wa Redd’s Miss Kinondoni na kuona wana vigezo vyote vya kulitwaa taji hilo. Mrembo huyo ambaye atakabidhi taji la Redd’s Miss Kinondoni mwishoni mwa wiki alisema, ana uhakika huo kutokana na uzoefu alioupata wakati akishiriki Redd’s Miss Kinondoni.
“Taji lazima lirudi nyumbani, warembo wa...

 

11 years ago

TheCitizen

MUSINGS: My new year resolution to end all others

I have got a couple of life secrets I would like to share with you this year. Yes, one big secret for now that will influence your outlook for the whole year to come. As you know living in Bongo bwana, lazima uwe mjanja mjanja! I mean you must have those fox like instincts, cunning, sly, calculating and even crafty at times.

 

10 years ago

TheCitizen

2015 resolution is to have a beer on the moon

New Year’s Day: Now is the accepted time to make your regular annual good resolutions. Next week you can begin paving hell with them as usual. (Mark Twain).

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo, wakati wa uzinduzi wa Kinondoni CUP uliofanyika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam jana ambapo pia aligawa vifaa vya michezo kwa timu  138 vikiwa ni seti mbili za jezi na mipira miwili kwa kila timu. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo katika uzinduzi huo.
 DC Makonda akisisitiza jambo katika uzinduzi huo. Kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk.Aziz Msuya, Diwani...

 

10 years ago

Dewji Blog

New Year Resolution; Start Buying and Selling Online

unnamed

As we enter the 3rd week of January, we are sure that many of you have put down your New Year resolutions which you are looking forward to accomplishing, and we sure hope you do.

Have any of you thought of changing the way you usually buy or sell? Ditching the traditional retail process? Make buying and selling online one of your new resolutions today, the good thing about this is that it’s easy and convenient. You are definitely going to buy something new this year to start off the year...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIMA YA RESOLUTION ILIVYOKUTANA NA WATEJA WAKE

Kampuni ya Bima ya Resolution mwishoni mwa wiki iliyoisha iliaanda hafla ya kufuturisha wateja wake katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Hafla ilihudhuriwa na Sheikh Msaidizi wa Dar es Salaam, Sheikh Athuman Makumbaku.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, Meneja Mkuu wa Resolution Insurance nchini Tanzania, Bwana Oscar Osir alisema, "Tunawashukuru sana kwamba mmehudhuria hafla hii na tunawapongeza kwa uvumilivu wenu katika mwezi huu mkuu wa Ramadhan.”.
Naye...

 

11 years ago

IPPmedia

Forum proposes 15 person in CA dispute resolution team


IPPmedia
Forum proposes 15 person in CA dispute resolution team
IPPmedia
A 15 person reference and dispute resolution team has been proposed for the Constitution Assembly (CA). However, it has been specified that the proposed team is to be formed if and when the boycotting members of the Coalition for people's constitution ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani