KAMPUNI YA BIMA YA RESOLUTION ILIVYOKUTANA NA WATEJA WAKE
Kampuni ya Bima ya Resolution mwishoni mwa wiki iliyoisha iliaanda hafla ya kufuturisha wateja wake katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Hafla ilihudhuriwa na Sheikh Msaidizi wa Dar es Salaam, Sheikh Athuman Makumbaku.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, Meneja Mkuu wa Resolution Insurance nchini Tanzania, Bwana Oscar Osir alisema, "Tunawashukuru sana kwamba mmehudhuria hafla hii na tunawapongeza kwa uvumilivu wenu katika mwezi huu mkuu wa Ramadhan.”.
Naye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA BIMA YA AFYA YA RESOLUTION YAANDA SIKU MAALUM YA FAMILIA KWA WATEJA WAKE
Hii ni mara ya kwanza kampuni hiyo imeaanda siku hii maalum kwa ajili ya wateja wake na kulikuwa na burudani ya kutosha kutoka bendi ya Borabora, DJ maalum na vichekesho kutoka MC Pilipili. Kulikuwa pia na michezo mbalimbali ya watu wazima na watoto kama vile: soka, dance limbo na tug of war. Wateja waalikwa walipata chakula kwani kulikuwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAN76T4eVc/ViHYjuloZRI/AAAAAAAAE38/1uVcRKlV7B4/s72-c/Tumika8.jpg)
Kampuni ya TTCL yakutanisha wateja wake Dar kupata mrejesho wa huduma
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAN76T4eVc/ViHYjuloZRI/AAAAAAAAE38/1uVcRKlV7B4/s640/Tumika8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zcRvZaghHCc/ViHYeTVZEGI/AAAAAAAAE3A/e2ylt9wOaKs/s640/Tumika1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Kampuni ya Tigo yatoa zawadi za siku ya Mapinduzi kwa wateja wake Zanzibar
Mwakilishi wa jimbo la Wamtipura Zanzibar, Mh.Hamza Hassan Juma (kushoto) akipokea zawadi ya Tigo kutoka kwa Meneja wa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Bw. John Wanyancha wakati wa maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi Zanzibar.
Ofisa wa Tigo Zanzibar, Fredy Mugule akikabidhi zawadi kwa Fatuma Suleiman kwenye maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi Zanzibar zilizofanyika kwenye Duka la Tigo Malindi .
Ofisa wa Tigo Zanzibar Fredy Mugule akikabidhi zawadi wa Thuwayba Ali kwenye maadhimisho ya...
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Kampuni ya LG yatoa zawadi mbalimbali kwa wateja wake ndani ya sikukuu ya sabasaba
Mkufunzi mwandamizi toka kampuni ya LG, Elizabeth Morris, (Kushoto) akiwaonyesha waandishi wa habari moja ya microwave ambayo inatolewa kama zawadi kwa wateja wanaonunua friji za kisasa za LG. Tukio hilo lilifanyika katika banda la LG ndani ya viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara kimataifa maarufu kama Sabasaba, wa pili kushoto ni meneja wa tawi la LG Mtaa wa Nkurumah, Yasin Lodhi .
Bw. Festo Sakaya akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea zawadi ya Microwave ya kisasa toka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8YmJ0MESYMg/XqhiVJX4fOI/AAAAAAAEG4E/hAn8c3eBf5AdPlGS__esov1EBZvzC1TdQCLcBGAsYHQ/s72-c/75bc0f80-9674-433c-b4f2-43f71195a61a.jpg)
Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC yakinga wateja wake waendapo kupata huduma Vodashop
![](https://1.bp.blogspot.com/-8YmJ0MESYMg/XqhiVJX4fOI/AAAAAAAEG4E/hAn8c3eBf5AdPlGS__esov1EBZvzC1TdQCLcBGAsYHQ/s640/75bc0f80-9674-433c-b4f2-43f71195a61a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/ac6bf65e-375b-4b55-bddb-78563fe69d27.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/b2f02e66-1e7e-4c14-84bf-e567be281b5a.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aorR2DOoOo4/VoO1E8H1vWI/AAAAAAAIPVY/ttcCp3Xf6UI/s72-c/TCRA_logo4.jpg)
TCRA YAZICHUKULIA HATUA ZA KISHERIA KAMPUNI ZA SIMU ZILIZOSHINDWA KUWALINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aorR2DOoOo4/VoO1E8H1vWI/AAAAAAAIPVY/ttcCp3Xf6UI/s400/TCRA_logo4.jpg)
HATUA ZA KISHERIA NA KIUDHIBITI KWA MAKAMPUNI YA SIMU YALIYOSHINDWA KULINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA NA KISHERIA KUHAKIKISHA USALAMA WA MAWASILIANO YAO
1. Katika shughuili zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama katika huduma za mawasiliano na hivyo...
10 years ago
MichuziBIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
TCRA yazipiga ‘nyundo’ kali za kisheria kampuni za simu zilizoshindwa kuwalinda wateja wake kitekinolojia!!
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na makampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Airtel, Halotel na Zantel na Smart kwa kuto kukidhi vigenzo. Pia amesema kuwa Makampuni hayo yamepigwa faini ya shilingi milioni 25 kwa mamlaka ya mawasiliano Tanzania kabla ya Januari 29 mwakani.
JAMHURI YA YA MUUNGANO YA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HATUA ZA...
10 years ago
MichuziKampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar