TCRA YAZICHUKULIA HATUA ZA KISHERIA KAMPUNI ZA SIMU ZILIZOSHINDWA KUWALINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aorR2DOoOo4/VoO1E8H1vWI/AAAAAAAIPVY/ttcCp3Xf6UI/s72-c/TCRA_logo4.jpg)
JAMHURI YA YA MUUNGANO YA TANZANIAMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIATAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HATUA ZA KISHERIA NA KIUDHIBITI KWA MAKAMPUNI YA SIMU YALIYOSHINDWA KULINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA NA KISHERIA KUHAKIKISHA USALAMA WA MAWASILIANO YAO
1. Katika shughuili zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama katika huduma za mawasiliano na hivyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
TCRA yazipiga ‘nyundo’ kali za kisheria kampuni za simu zilizoshindwa kuwalinda wateja wake kitekinolojia!!
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na makampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Airtel, Halotel na Zantel na Smart kwa kuto kukidhi vigenzo. Pia amesema kuwa Makampuni hayo yamepigwa faini ya shilingi milioni 25 kwa mamlaka ya mawasiliano Tanzania kabla ya Januari 29 mwakani.
JAMHURI YA YA MUUNGANO YA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HATUA ZA...
9 years ago
StarTV31 Dec
TCRA yaziadhibu Kampuni Tano za simu za mkononi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu kwa kampuni za simu za mkononi Tanzania kulipa shilingi milioni 25 kwa mamlaka hiyo kama adhabu ya kushindwa kusimamia usalama wa watumiaji wa huduma za Mawasiliano
Adhabu hiyo imetokana na kampuni hizo za Simu zikiwemo Aitel, Tigo, Zantel, Smart, na Halotel kushindwa kutekeleza agizo la TCRA lililowataka kudhibiti wimbi la wezi wanaotumia mitandao hiyo kuwaibia wateja.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania-TCRA, Dkt. Ally...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
TCRA yaamuru kampuni za simu kutenganisha vifurushi
10 years ago
Mwananchi24 Feb
TCRA sasa yazijia juu kampuni za simu nchini kupandisha tozo
10 years ago
Mwananchi14 Nov
‘Kampuni za simu nchini zinawaibia wateja wao’
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: ALIPWA USD 90,000 KWA KUISHTAKI KAMPUNI YA SIMU, NA WEWE CHUKUA HATUA SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s320/1.1774256.jpg)
Makampuni ya simu kama Vodacon, Airtel, Tigo, Zantel, Sasatel, na mengineyo yamekuwa yakitenda makosa mbalimbali kwa wateja wao. Mara kwa mara wateja wa simu wamekuwa wakilalamikia matendo ya makampuni haya lakini wengi wao wamekuwa hawachukui hatua zaidi ya kulalamika. Ni watu wachache mno ambao wamekwishachukua hatua za kisheria dhidi ya makampuni haya licha ya uonevu mkubwa wa kihuduma wanaousababisha. Ukiangalia kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YATANGAZA HATUA ZA KUWAPUNGUZIA MZIGO WATEJA WAKE KUTOKANA NA JANGA LA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NMB , Ruth Zaipuna
· Hatua kuchukuliwa kulingana na mahitaji ya Wateja wa Biashara Ndogondogo na za Kati· Suluhisho pia kutolewa kwa Wateja Wakubwa
Dar es Salaam, Mei 21, 2020: Benki ya NMB Plc leo imetangaza unafuu wa ulipaji mikopo kwa Wateja wa Biashara ndogo na za kati (SME/MSME) na wakubwa ili kuwasaidia kukabiliana na madhara yaliyotokana na janga la COVID - 19 kwenye biashara zao. Hii ni jitihada ya benki katika kutoa ahueni kwa wateja wake...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi