TCRA yaziadhibu Kampuni Tano za simu za mkononi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu kwa kampuni za simu za mkononi Tanzania kulipa shilingi milioni 25 kwa mamlaka hiyo kama adhabu ya kushindwa kusimamia usalama wa watumiaji wa huduma za Mawasiliano
Adhabu hiyo imetokana na kampuni hizo za Simu zikiwemo Aitel, Tigo, Zantel, Smart, na Halotel kushindwa kutekeleza agizo la TCRA lililowataka kudhibiti wimbi la wezi wanaotumia mitandao hiyo kuwaibia wateja.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania-TCRA, Dkt. Ally...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Mwananchi28 Sep
TCRA yaamuru kampuni za simu kutenganisha vifurushi
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo yawawezesha waendesha BodaBoda Jijini Mwanza
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza juzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi na kulipia kupitia Tigo Pesa.
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madereva wa Bodaboda na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia...
10 years ago
Mwananchi24 Feb
TCRA sasa yazijia juu kampuni za simu nchini kupandisha tozo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BHeBLgL2rtM/VW53PEyy8SI/AAAAAAAAQQ8/uDlkW1fY-BM/s72-c/E86A8983%2B%2528800x533%2529.jpg)
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO LEONIDAS GAMA AZINDUA DUKA JIPYA LA KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA TIGO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHeBLgL2rtM/VW53PEyy8SI/AAAAAAAAQQ8/uDlkW1fY-BM/s640/E86A8983%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T_uiye2Vadc/VW53TFUDIJI/AAAAAAAAQRQ/fHyj6Ore9t8/s640/E86A8990%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZeQrjox4bvU/VW53Ts731VI/AAAAAAAAQRU/tYtvrmzCrKU/s640/E86A8997%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lHxqdbNpbi0/VW53PgiU_vI/AAAAAAAAQRA/jwCUsePp4z8/s640/E86A8989%2B%2528800x533%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aorR2DOoOo4/VoO1E8H1vWI/AAAAAAAIPVY/ttcCp3Xf6UI/s72-c/TCRA_logo4.jpg)
TCRA YAZICHUKULIA HATUA ZA KISHERIA KAMPUNI ZA SIMU ZILIZOSHINDWA KUWALINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aorR2DOoOo4/VoO1E8H1vWI/AAAAAAAIPVY/ttcCp3Xf6UI/s400/TCRA_logo4.jpg)
HATUA ZA KISHERIA NA KIUDHIBITI KWA MAKAMPUNI YA SIMU YALIYOSHINDWA KULINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA NA KISHERIA KUHAKIKISHA USALAMA WA MAWASILIANO YAO
1. Katika shughuili zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama katika huduma za mawasiliano na hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
UNUNUAJI NA UUZAJI WA BIDHAA UMERAHISISHWA — KAMPUNI YA MASOKO KWA NJIA YA MTANDAO YAZINDUA “APP” YA SIMU ZA MKONONI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Mchakato wa uuzaji na ununuaji wa bidhaa umerahisishwa sana kwa kadri waendashaji wa makampuni ya biashara kwa njia ya intaneti wanavyozidi kuwa wabunifu na wagunduzi zaidi. Kaymu Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kuuza na kununua vitu kwa njia ya mtandao imejitanua zaidi baada ya kuzindua app (programu ya simu) yake Septemba 2014.Kaymu Tanzania imezindua huduma zake za kwanza za programu ya simu nchini, hivyo kuwawezesha watumiaji wa Android kufanya manunuzi ya bidhaa na kuweka oda moja kwa...
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
TCRA yazipiga ‘nyundo’ kali za kisheria kampuni za simu zilizoshindwa kuwalinda wateja wake kitekinolojia!!
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na makampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Airtel, Halotel na Zantel na Smart kwa kuto kukidhi vigenzo. Pia amesema kuwa Makampuni hayo yamepigwa faini ya shilingi milioni 25 kwa mamlaka ya mawasiliano Tanzania kabla ya Januari 29 mwakani.
JAMHURI YA YA MUUNGANO YA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HATUA ZA...
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8