Ridhiwani apata baraka za jamii ya wafugaji
Kiongozi wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kijiji cha Mindutulieni, Kata ya Lugoba wilayani Chalinze, Ole Molaimet Reuben (61) amesema watu wake wameikubali na hawatambua chama kingine chochote cha siasa kwa kuwa wengi wao wakakikuta chama hicho tawala.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...
10 years ago
Dewji Blog11 Jun
Membe apata baraka za watumishi wa Mungu kugombea urais wa Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na viongozi wa dini ya kiislam wa Mtwara mjini jana jioni, wakati wa dua maalum iliyoandaliwa na viongozi hao kwa ajili ya kumtakia kheri katika safari yake ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aliyekaa (kushoto) ni Sheikh wa Mkoa wa Mtwara, Dk. Nurdin Abdallah Mangochi. (Picha zote na John Badi).
Waziri...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jHxKBM0nuwE/VXfCiHQd9zI/AAAAAAAAnGk/pQ7JwEElZos/s72-c/1.jpg)
MEMBE APATA BARAKA ZA VIONGOZI WA DINI KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jHxKBM0nuwE/VXfCiHQd9zI/AAAAAAAAnGk/pQ7JwEElZos/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IgKHGIhov8Q/VXfCAcThgNI/AAAAAAAAnGU/v5GD2fzo3bA/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pGq72_lBLn8/VgiHEYIm_uI/AAAAAAAH7fs/qJPjQUpIFV0/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
WAFUGAJI CHALINZE SOMESHENI WATOTO, WASICHUNGE MIFUGO - RIDHIWANI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-D0fzmxL9ZYk/VZA1iQGViYI/AAAAAAAHlIg/BY0f7EhhrP0/s72-c/MMGL0026.jpg)
WANACCM 78, 500 WA MKOWA WA PWANI WAMDHAMINI MH. LOWASSA, APATA BARAKA ZA VIONGOZI WA DINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-D0fzmxL9ZYk/VZA1iQGViYI/AAAAAAAHlIg/BY0f7EhhrP0/s640/MMGL0026.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Jamii ya wafugaji waiangukia Serikali
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s72-c/IMG-20150629-WA0023.jpg)
Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s640/IMG-20150629-WA0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-ZjtBCePtU/VZIn-k8ZFlI/AAAAAAAAAQ4/3G0CBsckKqE/s640/IMG-20150629-WA0022.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-96NBLMdE52Q/VZIn9hKjxlI/AAAAAAAAAQ8/X1_08v68uh8/s640/IMG-20150629-WA0020.jpg)
BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.
Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...