Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti mpya ya UNICEF yashtua.

Zaidi ya watoto milioni 16 duniani, wamezaliwa katika mazingira ya kivita katika kipindi cha mwaka mmoja pekee.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Afya ya Johari Yashtua Wengi!

KUNENEPEANA! Na ‘kuumuka’ kwa muigizaji wa muda mrefu, Blandina Chagula ‘Johari’ kumezua gumzo na mishangao kwa wadau wengi wa filamu na burudani huku wakihoji kwa undani mabadiliko hayo ya ghafla kwani siku chache zilizopita Johari alikuwa habari ya mjini kutokana na kudhoofika kwa afya yake.

Wakizungumza na Amani hivi karibuni, baadhi ya mashabiki na wasanii mbalimbali, walionekana kushangazwa na muonekano mpya wa Johari na wengine kufika mbali kwa kuhusisha na madawa maalum ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO watoa ripoti mpya kuhusu Ebola

Shirika la Afya Duniani, WHO limetoa takwimu mpya kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi

 

10 years ago

Habarileo

CAG mpya aapishwa, asubiri ripoti Escrow

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Juma AssadRAIS Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad. Ameapishwa baada ya aliyekuwepo, Ludovick Utouh, kustaafu kwa mujibu wa Sheria na Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Idadi ya vijana wenye Ukimwi Dar yashtua

>Wakati vijana 40,000 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24, wakibainika kuambukizwa ugonjwa wa Ukimwi jijini Dar es Salaam, viongozi, wabunge  na wafanyabiashara wametajwa kuwa vinara wa kusambaza ugonjwa huo.

 

9 years ago

Bongo5

Ripoti: Album mpya ya Kanye West ‘Swish’ kutoka ‘soon’

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-amKanye West ataachia album yake mpya na ya saba, ‘SWISH’ “very soon”, kwa mujibu wa mshkaji wake, Travis Scott. Awali West alitangaza ujio wa album hiyo March mwaka huu kwa jina ‘So Help Me God’. Jina lake lilibadilishwa kuwa ‘SWISH’ mwezi May. Akiongea kwenye Beats 1 Ijumaa, Scott alisema, “That Ye album is nothing to […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Studio binafsi ya Millard Ayo yashtua wengi

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mshindi wa vipengele viwili kwenye Tuzo za Watu mwaka jana ni mtu wa mambo ya kimya kimya ndio maana picha ya studio aliyokuwa akiijenga nyumbaji kwake kwa mwaka mzima zimewashtua wengi. Mtangazaji huyo wa kipindi cha Amplifaya anakuwa mtangazaji wa kwanza Afrika Mashariki kama si Afrika nzima kuwa […]

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

BBCSwahili

UNICEF;Watoto waathirika zaidi C.A.R

Umoja wa mataifa wasema kuwa ghasia zinazoendelea nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati zinawaathiri watoto pakubwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Unicef:'Ni kosa watoto hawaandikishwi'

Shirika la Unicef, limesema kuwa takriban watoto milioni laki mbili na thelathini hawajawahi kuandikishwa tangu wazaliwe duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani