Ripoti ya Gaza:Pande zote zilikiuka haki
Ripoti iliyosubiriwa na wengi, imeonyesha kuwepo na ushahidi wa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu pamoja na sheria ya kimataifa kutoka kwa pande zote.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Haki itendeke pande zote mbili za sakata la escrow
Sakata la iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow linazidi kuchukua sura mpya kila kukicha, hivyo kusababisha kuwapo kwa mjadala kwa jamii.
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Mawifi pande zote mpendane
Makalio ya sufuria hayaogopi moto; mchana inzi na usiku mbu; mawifi liwe liwalo tutaolewa tu na kaka zenu. Mpo hapo? Basi kero za nini na mlikuwa wapi wakati kaka zenu walipotutafuta, kutupenda hatimaye kutuoa? Mwakwetu, hilo ni tamko la Jamila kwao ‘mawifi’ wakorofi.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
UN-'Pande zote CAR zilihusika na uhalifu'
UN inasema kuna ushahidi kuwa pande zote mbili zinazozozana katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, zimehusika katika uhalifu wa kivita
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
‘Muungano una changamoto pande zote’
MJUMBE wa Bunge la Maalumu la Katiba, Dk. Hussein Mwinyi, amesema muundo wa Muungano uliopo una changamoto kwa pande zote mbili. Alisema kwa upande wa Zanzibar changamoto kubwa zipo katika...
10 years ago
Vijimambo02 Oct
BREAKING NEWZ RASIMU YA KATIBA MPYA IMEPITA DODOMA,THERUTHI 2/3 YAPATIKANA PANDE ZOTE ZA MUUNGANO
![](https://scontent-a.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10352413_789544021107671_499878042800070519_n.jpg?oh=8345312f3a80a7b9dd227bfe8073c586&oe=54B0D235)
* Sura ya Pili Ibara ya Ibara ya 12 hadi 21 imepata theluthi mbili
* Sura ya Tatu Ibara ya 22 hadi 22 hadi 26 imepata theluthi mbili
* Sura ya Nne Ibara ya 27 hadi 30 imepata theluthi mbili
* Sura ya Tano Ibara ya 31 hadi 64 imepata theluthi mbil
*Sura ya Sita Ibara ya 65 hadi 69...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLYEzD6r3JE/VVx9Zv-CdjI/AAAAAAAHYgM/LLpLuvBy75Q/s72-c/Tume%2B01.jpg)
Tume ya haki za binadamu yatoa ripoti ya Mbagala
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLYEzD6r3JE/VVx9Zv-CdjI/AAAAAAAHYgM/LLpLuvBy75Q/s640/Tume%2B01.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu Bw. Bahame Nyanduga akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema hii leo jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jesshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF huko Mtoni Mtongani Temeke, Dar es saSalaam. Picha na Eliphace Marwa-MAELEZO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ASrdDd5OxpQ/XqmPuETVc-I/AAAAAAAA36g/LC5VIFmNSQgqJ7X8cXxqDE_fUCENddQEACNcBGAsYHQ/s72-c/LHRC%2B%25282%2529.jpeg)
LHRC YAZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-ASrdDd5OxpQ/XqmPuETVc-I/AAAAAAAA36g/LC5VIFmNSQgqJ7X8cXxqDE_fUCENddQEACNcBGAsYHQ/s640/LHRC%2B%25282%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati) akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania 2019. Uzinduzi huo uliofanyika leo Aprili 29, 2020 katika ofisi za LHRC jijini Dar es Salaam na wadau kufuatilia kwa njia ya mtandao.
![](https://2.bp.blogspot.com/-GL8HXt4jK94/XqmPuPys-oI/AAAAAAAA36k/ymKRoqSv66MaGb48whLRidCpA2jdDgv7gCNcBGAsYHQ/s640/LHRC%2B%25281%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati), Afisa Utafiti, Fundikila Wazambi (kushoto) na Mkurugenzi wa Uwajibikaji na Uwezeshaji wa Kituo hicho, Felista Mauya (kulia) wakionesha nakala za Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_1f--WPbTwU/XuXnZHm9GCI/AAAAAAAEHzc/mpCNWQrh5BwRD_QbBjh5tKkKPkh9n8fsACLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Legal Services Facility yatoa ripoti ya upatikanaji wa haki za kisheria
Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na uwezeshaji wa upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria, kupitia wasaidizi wa kisheria nchini, Legal Services Facility (LSF), ambalo linakuza na kulinda haki za binadamu hasa kwa wanawake maskini and makundi mengine yaliyo katika mazingira hatarishi kwa kutoa ufadhili wa fedha kwa taasisi zinazotoa huduma za kisheria Tanzania, imefanya tathmini na kutoa ripoti ya upatikanaji wa haki za kisheria iliyotekelezwa tangu mwaka 2016.
Ripoti hii...
Ripoti hii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s72-c/haki.jpg)
LHRC KUZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019 KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s640/haki.jpg)
RIPOTI imepangwa kuzinduliwa Jumatano, Aprili 29, 2020 kupitia mtandao wa YouTube (Haki TV), mtandao wa Zoom na mitandao ya Twitter, Facebook na Instagram.
Kwa mujibu wa LHRC, hii ni mara ya kwanza kwa shirika hilo la utetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuzindua ripoti kwa njia ya kidigitali tangu walipoanza kuchapisha ripoti hiyo mwaka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania