Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haki itendeke pande zote mbili za sakata la escrow

Sakata la iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow linazidi kuchukua sura mpya kila kukicha, hivyo kusababisha kuwapo kwa mjadala kwa jamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti ya Gaza:Pande zote zilikiuka haki

Ripoti iliyosubiriwa na wengi, imeonyesha kuwepo na ushahidi wa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu pamoja na sheria ya kimataifa kutoka kwa pande zote.

 

10 years ago

Mwananchi

Sasa kazi ni moja tu, kudai Tume Huru ya Uchaguzi ili haki itendeke

Tunapouanza mwaka 2015 tujue kwamba huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu kwa wabunge, madiwani pamoja na rais.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawifi pande zote mpendane

Makalio ya sufuria hayaogopi moto; mchana inzi na usiku mbu; mawifi liwe liwalo tutaolewa tu na kaka zenu. Mpo hapo? Basi kero za nini na mlikuwa wapi wakati kaka zenu walipotutafuta, kutupenda hatimaye kutuoa? Mwakwetu, hilo ni tamko la Jamila kwao ‘mawifi’ wakorofi.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN-'Pande zote CAR zilihusika na uhalifu'

UN inasema kuna ushahidi kuwa pande zote mbili zinazozozana katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, zimehusika katika uhalifu wa kivita

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Muungano una changamoto pande zote’

MJUMBE wa Bunge la Maalumu la Katiba, Dk. Hussein Mwinyi, amesema muundo wa Muungano uliopo una changamoto kwa pande zote mbili. Alisema kwa upande wa Zanzibar changamoto kubwa zipo katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]

 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pande mbili S. Kusini zimetenda uhalifu

Afisaa mkuu wa UN, Ivan Simonovic, amesema pande mbili zilizo kwenye mgogoro nchini Sudan Kusini zimetekeleza vitendo vya mauaji.

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWZ RASIMU YA KATIBA MPYA IMEPITA DODOMA,THERUTHI 2/3 YAPATIKANA PANDE ZOTE ZA MUUNGANO

#‎HABARI‬ Rasimu ya tatu ya Bunge maalum la katiba nchini Tanzania imepita kwa theluthi mbili za wajumbe kutoka Tanzania Bara na Zanzibar. 1. ZANZIBAR. * Sura ya Kwanza Ibara ya 1 hadi 11 imepata theluthi Mbili
* Sura ya Pili Ibara ya Ibara ya 12 hadi 21 imepata theluthi mbili
* Sura ya Tatu Ibara ya 22 hadi 22 hadi 26 imepata theluthi mbili
* Sura ya Nne Ibara ya 27 hadi 30 imepata theluthi mbili
* Sura ya Tano Ibara ya 31 hadi 64 imepata theluthi mbil
*Sura ya Sita Ibara ya 65 hadi 69...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sakata la Escrow

Kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow bado inafukuta nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani