Riyama Ana Haya Kuhusu Picha Hii
“Duniani wawili wawili ndugu yetu hatupo nawe ila kuna wakaka umefanana nao Dah kazi ya Mungu haina makosa wakati kati Marehemu kanumba wa kushoto na kulia ni wakaka waliofanana na Marehemu kanumba
Mungu akurahamu akusamehe dhambi zako akuweke panapo stahili kwa bahati nzuri hawa nao ni wasanii wazuri tu mimi nawaombea muje kua kama Marehemu katika Kila kile alicho kua nacho na kuwa kioo chetu Ishallah ili muwe faraja kwetu sisi wasanii wenzake pia kwa wapenzi wa kazi zake tulimpenda ila...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Kanumba Day: Wastara Ana Haya Kuhusu Kitabu cha Kanumba
“Hiki kitabu chenye historia yako chatosha kunifanya nione umuhimu mkubwa uliokuwa nao katika tasnia na safari ndefu uliyopitia mpka ulimwengu kkutambua wew ni nani yoyte mwenye moyo wa dhati na asiyechoka na kukata siku zote atasimama nakufuata njia ulizopita duniani ni njia tu lakini jinsi utakavyoipita njia hii ndivyo utakavyowapa watu kumbukumbu ya kukkumbuka kilasiku tunakukumbuka sana lakini kifo ni safari ya lazima aina rushwa wala aikwepeki tuko nyuma yako mungu akusamehe makosa yako...
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Maneno Haya ya Lulu Kwenye Picha Hii ya Waacha Hoi Mashabiki Wake
Hapa na Pale: Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha watu hoi baada ya kubandika picha hiyo hapo chini ikimuonyesha yeye na baba yake mzazi ‘Mzee Michael’ na kumwagia sifa baba yake huku akiomba dua aje kuzaa mtoto atakaye fanana na baba yake (Mzee Michael) kitendo ambacho kila shabiki yake mtandaoni alikuwa na yake ya kusema.
“Le Mbebe…! Le Super HandsomeLe Twinnie
Mzaa Chema…Mzee Michael..!!!
Ewe Mtoto Wangu WA...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SrpOA4rRpQc/default.jpg)
11 years ago
Bongo Movies19 Jun
Mmmh! Hii sasa ni kubwa kuliko! William Mtitu amfungukia haya Flora Mbasha kuhusu mumewe.
Lile sataka la kubaka linalomkabili mume wa mwanamuziki maafuru wa nyimbo za dini – Flora Mbasha limechukua sura mpya baada ya hapo jana mwigizaji na mwongozaji maarufu wa filamu nchini William Mtitu (Pichani) kuamua kufunguka haya juu ya mwanamziki huyu.
Hatutaki kukupotezea muda, jisomee mwenyewe hapo chini kasha “utafakari”.
Huku akiwa ameweka picha hiyo hapo juu ya Flora Mbasha na mumewe Mtitu alinzanza kwa kuandika…
“Ukiiangalia vizuli hii picha utagundua kitu katika macho ya...
10 years ago
Bongo Movies11 Feb
PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!
Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti huku wote sura zao zikiwa hazionekani.
Moja kati ya akaunti kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.
Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgjh5cg9gQbDoa0w*8XO7Y*vp29emxWWLugLwTimIsZrWIeGZbq6sqQSiAU45cNkFqRvJhBIfaAfki7My*jkbcA1/6.jpg)
ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgjh5cg9gQbDoa0w*8XO7Y*vp29emxWWLugLwTimIsZrWIeGZbq6sqQSiAU45cNkFqRvJhBIfaAfki7My*jkbcA1/6.jpg)
ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA-2
10 years ago
Bongo Movies02 Jun
Picha: Riyama Ndani ya Mombasa Kikazi…
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally ameshare nasi picha hizi kupitia ukurasa wake mtandaoni akiwa mjini Mombasa nchini Kenya.
“Alhamdulilah tulifika salama Mombasa Asanteni sana kwa duwazenu mawasiliano kwa upande wetu Haya kua poa ila sasa yapo pouwa tuna wapendwa sana damwani” RIYAMA aliandiaka hayo mara baada ya kuweka picha na kuendelea;
"Asante wenyeji wetu kwa mapokezi mazuri Mungu awabariki sana inshallah amin....."
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Nahreel kasema ‘nisieleweke vibaya kuhusu haya niliyosema kuhusu Diamond’
Nahreel ni msanii wa kundi la Navy Kenzo lakini pia ni Producer ambaye mikono yake imehusika kuzisuka hits nyingi tu ikiwemo za WEUSI, Vanessa Mdee, Navy Kenzo, Shilole na hivi karibuni Nahreel ameingia kwenye headlines za Tanzania baada ya kusema hakupendezwa na maneno ya utambulisho wake kufutwa kwenye beat aliyoitengeneza ya wimbo wa ‘Nana‘ wa Diamond […]
The post Nahreel kasema ‘nisieleweke vibaya kuhusu haya niliyosema kuhusu Diamond’ appeared first on...