Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Riyama Ndani ya Mombasa Kikazi…

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally  ameshare nasi picha hizi kupitia ukurasa wake mtandaoni akiwa mjini Mombasa nchini Kenya.

“Alhamdulilah tulifika salama Mombasa Asanteni sana kwa duwazenu mawasiliano kwa upande wetu Haya kua poa ila sasa yapo pouwa tuna wapendwa sana damwani”  RIYAMA aliandiaka hayo mara baada ya kuweka picha na kuendelea;

"Asante wenyeji wetu kwa mapokezi mazuri Mungu awabariki sana inshallah amin....."

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Ana Haya Kuhusu Picha Hii

“Duniani wawili wawili ndugu yetu hatupo nawe ila kuna wakaka umefanana nao Dah  kazi ya Mungu haina makosa wakati kati Marehemu kanumba wa kushoto na kulia ni wakaka waliofanana na Marehemu kanumba 

Mungu akurahamu akusamehe dhambi zako akuweke panapo stahili kwa bahati nzuri hawa nao ni wasanii wazuri tu mimi nawaombea muje kua kama Marehemu katika Kila kile alicho kua nacho na kuwa kioo chetu Ishallah ili muwe faraja kwetu sisi wasanii wenzake pia kwa wapenzi wa kazi zake tulimpenda ila...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Riyama Akiwa Mzigoni ‘Akishuti’ Kazi Yake Mpya

Hizi ni baadhi ya picha za mkali wa bongo movies, Riyama Ally alizo-share nasi kupitia ukurasa wake mtandaoni  zikimuonyesha akiwa anashoot filamu yake mpya.

“Naipenda sana kazi yangu Mungu ibariki...”Riyama aliandika kwenye picha hiyo hapo juu.

Hongera kwa kazi

 

9 years ago

Bongo5

H.Baba azirejesha ‘Tuzo za Familia’ Dully Sykes na Riyama washinda (Picha)

Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic akimkabidhi Tanzanite tuzo ya ubalozi wa Kliniki hiyo

Tuzo za Familia za msanii wa muziki, H.Baba akishirikiana na mke wake, Flora Mvungi zimefanyika kwa mara ya pili, Jumapili hii ndani ya City Style Hotel iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao waliondoka na tuzo na Best Couple of The Year 2015.

Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo
Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo

Katika tuzo hizo, Dully Sykes aliondoka na tuzo ya Hall Fame of The Year 2015 kwa upande wa muziki huku Riyama Ally akiondoka na Hall Fame Of The Year 2015 kwa upande wa...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla kikazi ndani ya jimbo la peramiho-songea.

 Naibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla akiangalia kwa makini taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji lililopo eneo la Luyelela kijiji cha Lugagala jimbo la Peramiho, Songea. Kulia kwa Naibu Waziri ni Katibu Tawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bw. Juma Ally na kushoto kwake ni Mhandisi wa Maji Songea vijijini Bw. John a. Undiri.

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 10 za show ya Yamoto Band ndani ya Mombasa Kenya, mashabiki walivyochezeshwa kimadoido …

Yamoto Band baada ya kusambaza upendo wa burudani pange za Geita, Mwanza, Songea, Mbinga na Mbambabay, usiku wa mkesha mwaka mpya yaani December 31 walioamua kwenda kutoa burudani ya nguvu kwa majirani zao wa Kenya. Yomoto Band walidondosha burudani pande za Mombasa Kenya. Yamoto walipiga show ya hit singles zao zote na kuukaribisha mwaka mpya […]

The post Pichaz 10 za show ya Yamoto Band ndani ya Mombasa Kenya, mashabiki walivyochezeshwa kimadoido … appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA PAMOJA NDANI YA DALLAS, TEXAS

Gloria Padmore akiwa katika picha ya pamoja na Mpwa siku ya Jumamosi July 4, 2015 jijini Dallas Gloria alipokutana na Mpwa kwenye harusi ya Sandra na George

 

10 years ago

Bongo5

KTMA 2015: Red Carpet na ndani ya ukumbi ( Picha)

Tazama mastaa na wadau wa muziki walivyopendeza kwenye red carpet ya tuzo za KTMA 2015 zilizofanyika, Mlimani City jijini Dar es Salaam, June 13. Ommy Dimpoz akiwa na team yake Barnaba Elias na Dullah wa Planet Bongo Bata kwa kwenda mbele Christian Bella akiwa na Dulla Dullah Ambua akiwa na Nyoshi El Sadat Dullah wa […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha:Hiki Ndicho Alichokifanya Diamond Ndani ya Dar Live

Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alifanya  shoo baab’kubwa usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.

Na hizi ni baadahi ya picha za shoo hiyo.

DIAMOND881 DIAMOND123 DIAMOND6231 DIAMOND24512 DIAMOND11 DIAMOND8721 DIAMOND89913

 

9 years ago

Global Publishers

Picha: Moto Wazua Taharuki Jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani

????????????????????????????????????Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nchi wakiwa katika wamesimama nje ya jengo hilo baada ya kutokea hitilafu ya cheche za umeme katika gholofa ya nne.Moto (2)Wafanyakazi ambao walipata mshtuko wa ghafla wakiwa nje ya jengo hilo.

Moto (3)????????????????????????????????????Baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi wanaofanya kazi zao katika jengo hilo la wizara ya mambo ya ndani wakitoka nje baada ya hitilafu hiyo.????????????????????????????????????Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, SSP, Advera Senzo Bulimba,akizungumza na waandishi wa habari nje ya jengo la wizara ya mambo ya ndani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani