Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rodgers alia na wabaya wake Liverpool

brendan rodgersLIVERPOOL, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Liverpool, Brendan Rodgers, amesema kuwa kuna wabaya wake katika klabu hiyo ambao wanatamani aondoke, lakini anaamini ataendelea kuitumikia timu hiyo kwa muda mrefu.

Klabu hiyo imekuwa na matokeo mabaya katika michuano ya Ligi Kuu msimu huu, lakini mchezo ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa Anfield mwishoni mwa wiki iliyopita, Liverpool ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Aston Villa na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya nane katika msimamo wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rodgers ainyima taji Liverpool

>Kocha wa Liverpool, Brendan Rodgers amesema klabu  yake itasubiri kwa msimu mwingine zaidi kabla ya kuingia  katika nafasi ya kutwaa ubingwa wa England.

 

10 years ago

TheCitizen

Liverpool now clicking into gear, says Rodgers

Brendan Rodgers claimed Liverpool are hitting top gear at the right time as they booked their place in the FA Cup quarter-finals.

 

9 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza Meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rodgers''Liverpool itamaliza ya pili''

Liverpool itaipiku Manchester City katika nafasi ya pili msimu huu amesema kocha wa timu hiyo Brendan Rodgers

 

10 years ago

BBCSwahili

B Rodgers: Motisha wa Liverpool umeshuka

Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa kikosi chake kinakabiliwa na wakati mgumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers kuondoka Liverpool?

Kocha wa klabu ya Liverpool, England Brendan Rodgers amesema yupo tayari kuondoka iwapo wamiliki watamtaka kufanya hivyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rodgers wa Liverpool aambiwa ana mtihani

Meneja wa klabu ya soka ya Liverpool Brendan Rodgers atakua na siku kumi ngumu za mtihani wa kibarua chake katika timu hiyo, hayo yamesemwa na mlinzi wa zamani wa timu hiyo Mark Lawrenson.

 

10 years ago

Mtanzania

Zari awatuliza wabaya wake

ZARINA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MPENZI wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul ‘Dimond’, Zarinah Hassab ‘Zari The Boss Lady’, amewakata mdomo waliokuwa wakimbeza kuwa hana ujauzito kwa kuweka picha kwenye mtandao wake wa Instagram akionyesha ‘kitumbo’ chake.
Watu mbalimbali walikuwa wakionyesha kutokuamini ujauzito wa mrembo huyo, huku wengine wakidai kuwa ni ya kutengeneza.
Msanii huyo wa Uganda, Zari, ambaye amekuwa kimya, juzi aliamua kuweka picha zake mbili kwenye mtandao wake...

 

11 years ago

GPL

LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE

Stori: shakoor jongo
Kumbe! Sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kwamba amewajua wabaya wake wanaomfuatilia na kumsakama kwa ubaya katika maisha yake, amewaonya kuwa dawa yao ipo jikoni. Sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita jijini Dar, Lulu alisema kuwa kila kukicha lazima watu hao waibuke na jipya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani