Rodgers alia na wabaya wake Liverpool
LIVERPOOL, ENGLAND
KOCHA wa klabu ya Liverpool, Brendan Rodgers, amesema kuwa kuna wabaya wake katika klabu hiyo ambao wanatamani aondoke, lakini anaamini ataendelea kuitumikia timu hiyo kwa muda mrefu.
Klabu hiyo imekuwa na matokeo mabaya katika michuano ya Ligi Kuu msimu huu, lakini mchezo ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa Anfield mwishoni mwa wiki iliyopita, Liverpool ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Aston Villa na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya nane katika msimamo wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Rodgers ainyima taji Liverpool
10 years ago
TheCitizen16 Feb
Liverpool now clicking into gear, says Rodgers
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Rodgers''Liverpool itamaliza ya pili''
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
B Rodgers: Motisha wa Liverpool umeshuka
10 years ago
BBCSwahili25 May
Brendan Rodgers kuondoka Liverpool?
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rodgers wa Liverpool aambiwa ana mtihani
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Zari awatuliza wabaya wake
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MPENZI wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul ‘Dimond’, Zarinah Hassab ‘Zari The Boss Lady’, amewakata mdomo waliokuwa wakimbeza kuwa hana ujauzito kwa kuweka picha kwenye mtandao wake wa Instagram akionyesha ‘kitumbo’ chake.
Watu mbalimbali walikuwa wakionyesha kutokuamini ujauzito wa mrembo huyo, huku wengine wakidai kuwa ni ya kutengeneza.
Msanii huyo wa Uganda, Zari, ambaye amekuwa kimya, juzi aliamua kuweka picha zake mbili kwenye mtandao wake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQykxR3cVykaBL9h0vaaxMAGO7kuxhap5gv3CmTljzWgMWmlUhkAKZuEzAxIPEndj*gGlKSRvMAjRSjmjKnv7aw/LULU.jpg)
LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE