Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rodgers wa Liverpool aambiwa ana mtihani

Meneja wa klabu ya soka ya Liverpool Brendan Rodgers atakua na siku kumi ngumu za mtihani wa kibarua chake katika timu hiyo, hayo yamesemwa na mlinzi wa zamani wa timu hiyo Mark Lawrenson.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza Meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers kuondoka Liverpool?

Kocha wa klabu ya Liverpool, England Brendan Rodgers amesema yupo tayari kuondoka iwapo wamiliki watamtaka kufanya hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rodgers''Liverpool itamaliza ya pili''

Liverpool itaipiku Manchester City katika nafasi ya pili msimu huu amesema kocha wa timu hiyo Brendan Rodgers

 

11 years ago

Mwananchi

Rodgers ainyima taji Liverpool

>Kocha wa Liverpool, Brendan Rodgers amesema klabu  yake itasubiri kwa msimu mwingine zaidi kabla ya kuingia  katika nafasi ya kutwaa ubingwa wa England.

 

10 years ago

BBCSwahili

B Rodgers: Motisha wa Liverpool umeshuka

Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa kikosi chake kinakabiliwa na wakati mgumu.

 

10 years ago

TheCitizen

Liverpool now clicking into gear, says Rodgers

Brendan Rodgers claimed Liverpool are hitting top gear at the right time as they booked their place in the FA Cup quarter-finals.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli ana mtihani ndani ya CCM

CCM imevuka vikwazo vyote katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika Oktoba, lakini bado haijamaliza kazi. Kazi ya kutetea utawala wake ndiyo pekee iliyomalizika, lakini imeanza kazi ya kuhakikisha inautetea katika uchaguzi ujao.

 

9 years ago

Mtanzania

Rodgers alia na wabaya wake Liverpool

brendan rodgersLIVERPOOL, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Liverpool, Brendan Rodgers, amesema kuwa kuna wabaya wake katika klabu hiyo ambao wanatamani aondoke, lakini anaamini ataendelea kuitumikia timu hiyo kwa muda mrefu.

Klabu hiyo imekuwa na matokeo mabaya katika michuano ya Ligi Kuu msimu huu, lakini mchezo ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa Anfield mwishoni mwa wiki iliyopita, Liverpool ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Aston Villa na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya nane katika msimamo wa...

 

9 years ago

Bongo5

Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu. Uamuzi huo wa kumfuta kazi Rodgers ulikuwa umefanyika hata kabla ya mchezo ulioisha kwa suluhu dhidi ya Everton ambao uliwafanya Liverpool wabaki katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi ya England. ”Licha ya kuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani