Rose: ‘Nilibakwa na umri wa miaka 14, video ikawekwa kwenye mtandao wa ngono’
Rose alipobakwa, ilimchukua miezi kadhaa kuomba mtandao wa ngono kuiondoa video hiyo mbaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Apr
AMBER ROSE ALIANZA KUKATA NYWELE AKIWA NA UMRI WA MIAKA 18
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/17/15/27A9F5C300000578-3043674-image-a-172_1429279259468.jpg)
Hapa ni TBT ya Amber Rose akiwa kinda la miaka 18 fresh kabisa kama punye ya kitunguu, Amber Rose anasema alianza kupenda kuwa na nywele fupi toka akiwa na umri huo hadi sasa ana umri wa miaka 33 anaendelea kuwa na nywele fupi na kuziweka rangi.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/17/15/2780012D00000578-3043674-image-m-176_1429279957815.jpg)
Then and now: The star is now 33 and dyes her famous buzz cut peroxide blonde
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video)
Dj Arch Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapo Afrika Kusini kipaji chake kinawashangasha watu wengi kwa kucheza muziki wa aina tofauti akiwa kama DJ. Mtoto huyo alianza kuchukua headlines kabla ya kushinda kwenye shindano la S.A Got Talent 2015 baada ya kuwashinda washiriki sita kwenye fainali zilizofanyika Nov […]
The post Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5
Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.
Na Andrew Chale modewji...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9215.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE KAMBI YA KUPIMA AFYA BILA MALIPO KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s72-c/1960604_RPC-1.jpg)
WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s400/1960604_RPC-1.jpg)
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika Februari 20 mwaka huu kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Umri ni miaka 26 lakini umbile ni miaka 10
10 years ago
BBCSwahili22 May
Dj mwenye umri wa miaka 3
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/13/150613175620_sp_swedish_royal_wedding_640x360_afp_nocredit.jpg)
Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.