ROSTAM AKABIDHI VIFAA KUPAMBANA NA CORONA DAR, AWATUMIA UJUMBE WAFANYABISHARA KUISAIDIA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9c-ddQao4WM/XphQRQK6snI/AAAAAAALnLg/Phj-VYok9koUA00m951hKekaeY6CQg0RwCLcBGAsYHQ/s72-c/b0c004d5-2fd7-4645-a8e3-ba429079505d.jpg)
Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MFANYABIASHARA maarufu nchini Rostam Aziz amekabiodhi vifaa mbalimbali vikiwamo vitakasa mikoni na barakoa ili kusaidia mapambano dhidi ya Corona jijini Dar es Salaam.
Rostam amekabidhi msaada huo leo Aprili 16 mwaka 2020 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kwa Waziri Mkuu aliyoitoa wiki iliyopita ya kutoa Sh.bilioni moja kusaidia vifaa hivyo katika daladala za jiji la Dar es Salaam na Zanzibar.
Akizungumza baada ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9c-ddQao4WM/XphQRQK6snI/AAAAAAALnLg/Phj-VYok9koUA00m951hKekaeY6CQg0RwCLcBGAsYHQ/s72-c/b0c004d5-2fd7-4645-a8e3-ba429079505d.jpg)
ROSTAM AKABIDHI VIFAA KUPAMBANA NA CORONA DAR, AWATUMIA UJUMBE WAFANYABISHARA KUISAIDIA SERIKALI
Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MFANYABIASHARA maarufu nchini Rostam Aziz amekabiodhi vifaa mbalimbali vikiwamo vitakasa mikoni na barakoa ili kusaidia mapambano dhidi ya Corona jijini Dar es Salaam.
Rostam amekabidhi msaada huo leo Aprili 16 mwaka 2020 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kwa Waziri Mkuu aliyoitoa wiki iliyopita ya kutoa Sh.bilioni moja kusaidia vifaa hivyo katika daladala za jiji la Dar es Salaam na Zanzibar.
Akizungumza baada ya kukabidhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cypzNLQRlIE/XnUqlk_dPoI/AAAAAAALkkY/dYLLbLyZa8UIVGH2RdzCcWHugC6OKOBfACLcBGAsYHQ/s72-c/5f6f350f-c6c9-4cf1-a53b-29ecc7183cab.jpg)
CHINA KUFADHILI VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA MKOA WA DAR ES SALAAM
SERIKALI ya China kupitia ubalozi wake nchini utafadhili vifaa vya kupambana na virusi vya Corona (Covid 19) ikiwemo kutoa vifaa vya kupima virusi hivyo pamoja na kutoa vitakasa mikono (sanitizers) ambazo zitatolewa kwa wananchi wa hali ya chini ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya virusi hivyo vinavyosambaa katika maeneo mbalimbali duniani.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea kiwanda cha uzalishaji bidhaa binafsi ikiwemo...
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wenye uwezo watakiwa kuisaidia Serikali Kupambana Na Umasikini
Watu wenye uwezo wa kifedha wameaswa kujitoa kuisaidia serikali katika kupambana na janga la umasikini nchini ikiwa pamoja na kuwainua kiuchumi baadhi ya wananchi wasiojiweza kimaisha.
Rai hiyo imetolewa katika hafla ya kuwatunuku shahada ya uzamivu baadhi ya watendaji wa serikali pamoja na Baadhi ya watu wanaofanya kazi kiroho iliyofanyika Jijini Mwanza.
Chuo cha Africa Graduate University, makao makuu yake nchini Sierra Leone limejikita mkoani Mwanza Kutunuku vyeti Vya heshima shahada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8y03J-HMOo4/Xq_8jlR6YaI/AAAAAAALpCM/mVVZCxioDwYBJbuJgY3hFFX7tfX6CgMTwCLcBGAsYHQ/s72-c/dd46b1e0-fbfc-4ca8-a297-7aec53878b99.jpg)
DC WARYUBA AKABIDHI VIFAA VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8y03J-HMOo4/Xq_8jlR6YaI/AAAAAAALpCM/mVVZCxioDwYBJbuJgY3hFFX7tfX6CgMTwCLcBGAsYHQ/s640/dd46b1e0-fbfc-4ca8-a297-7aec53878b99.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/c3f98362-5dd8-4909-a0e2-2745efd03256.jpg)
……………………………………………………………………..
Mkuu wa wilaya Tandahimba Mhe. Sebastian Waryuba amekabidhi vifaa vya kupambana na ugonjwa wa Covid 19 vinavyosababishwa na virusi Corona.
DC Waryuba amemkabidhi Mganga Mkuu wa wilaya Tandahimba Dk. Antipass Swai vifaa vyenye thamani ya Tsh. Milioni sitini na mbili laki sita na elfu arobaini (62,640,000/=) ambapo amewasihi Wataalamu hao wa afya kuvitunza vifaa hivyo na viwaongezee kasi ya mapambano ya virusi vya Corona na kuisihi jamii kutiana moyo na kuacha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf5xh_W6x9M/XpcKLAFaGjI/AAAAAAALnDc/VxfkEIwJng8JXip-jGkfp7Xb4-Lh81tkQCLcBGAsYHQ/s72-c/b41f6d79-2549-446d-a393-776172080374.jpg)
DC KATAMBI AKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 16 KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf5xh_W6x9M/XpcKLAFaGjI/AAAAAAALnDc/VxfkEIwJng8JXip-jGkfp7Xb4-Lh81tkQCLcBGAsYHQ/s640/b41f6d79-2549-446d-a393-776172080374.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-EN-L9w5VCl8/XpcIjRbS-xI/AAAAAAALnDM/n1C17pgxKhA4lRtOfGZaCgWD4vO3cgh9wCLcBGAsYHQ/s640/5063bc68-ba4f-424c-8fa4-338fbe78dceb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MjigdAtRFR8/XpcIY5u085I/AAAAAAALnDE/UJRf28JXnx8biUpNct_XZD5eydRqzzkgwCLcBGAsYHQ/s640/47fc791e-17be-4768-b5e1-6a0047019722.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1itz4wE9UfM/Xn3G4tDUMYI/AAAAAAALlRY/SuZgiX6ZAWAhaF_i3S2Slhqeo4Q_7XUFQCLcBGAsYHQ/s72-c/5a019ffc-bd34-4b4a-9b31-dd0fc4832aa3.jpg)
DC KATAMBI AGAWA VIFAA TIBA 3,600 KWA AJILI YA KUPAMBANA NA CORONA
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kupambana na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amegawa vifaa kinga vya kujikinga na ugonjwa huo vipatavyo 3,600.
DC Katambi amegawa vifaa hivyo ambavyo ni vitakasa mikono 'sanitizer' kwa taasisi mbalimbali za umma, binafsi, vyama vya siasa na taasisi za Dini lengo likiwa ni kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huo ndani ya Wilaya yake.
Akizungumza wakati akigawa vifaa hivyo, DC Katambi amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-63.jpg)
TAASISI NA KAMPUNI BINAFSI ZAOMBWA KUCHANGIA VIFAA MBALIMBALI KUPAMBANA NA CORONA.
Na Pamela Mollel, Arusha
Taasisi na makampuni binafsi wameaombwa kuchangia vifaa mbalimbali kwaajili ya kusaidia kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona (Covid - 19)ambao hivi sasa unaleta mtikisiko wa kiuchumi
Aidha wataalam na makada wa afya zaidi ya 525 wamepewa mafunzo elekezi juu ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona
Rai hiyo imetolewa jana Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Hargeney Chitukuro wakati alipokuwa akifungua kikao kazi cha wataalam wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii katika...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/xv1cuuqa-98/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-La-2NuivUhs/Xrktu2Vde8I/AAAAAAALpxw/2KXoRofohsYO-3tuweMFEugI_pmPS9tPQCLcBGAsYHQ/s72-c/467.jpg)
TAASISI YA PAMOJA IKISHIRIKIANA NA RED CROSS UNGUJA WATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA (COVID-1).