RUBANI FARIQ ABDUL HAMID ASEMEKANA KUITOROSHA NDEGE YA MALAYSIA AIRLINES
![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3Cz6gkJeiu3PVzYUlYnV410n5-jsnkmmtemWiVC*K5phia5PRX7cW8lMc4RK5lKZfAp9GaqBsC3DS3jaaQ3Lj5X/NDEGE1.jpg?width=650)
Kamera za usalama zikimwonyesha rubani wa ndege ya Malaysia aina ya Boeing 777, Zaharie Ahmed Shah, kwenye uwanja wa Kuala Lumpur. Michoro inayoonyesha njia ambayo ndege hiyo huenda ilipitia kwenda kusikojulikana.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmxEpcM5NKRVYcj176nP8jC-vTe3qNFifzWYnR5EQTf7ojf7oMxlcw7TcPYwDNzLwhsgz7N*Z-WuHrnkLrGeUNq/MH3701.jpg?width=650)
PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA
Waziri wa ulinzi Hishammuddin Hussein (katikati) akikanusha madai ya ndege kukaa masaa manne hewani kabla ya kupotea.…
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Malaysia:Kauli ya mwisho ya rubani mwenza
Maafisa wamesema kuwa wanadhani rubani mwenza katika ndege ya Malaysia iliyotoweka ndiye aliyenena maneno ya mwisho kabla ndege kutoweka.
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Makachero wapekua nyumbani kwa rubani, Malaysia
Polisi nchini Malaysia wamevamia nyumba aliyokuwa akiishi rubani wa ndege iliyopotea na kuendesha msako mkali, ikiwamo kukusanya nyaraka muhimu ambazo zinazamiwa kuwa zitasaidia kufichua ukweli kuhusu tukio la kupotea kwa ndege hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur. Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jKCPUqQC7tGqGn7Df5rFNxu6rR4UrUoy5AKVp-Z6v5zghrr7ZzEodAr4p2PgWKw4YIDIIu0CzBCZrlV7x2KKtyO/MAINmalaysiahack.jpg)
WADUKUZI WAVAMIA TOVUTI YA MALAYSIA AIRLINES, WAWEKA PICHA YA MJUSI NA WIMBO
Pichani kulia ni picha ya mjusi iliyowekwa kwenye ukurasa wa mbele wa tovuti ya Shirika la Ndege la Malaysia. WADUKUZI wa mitandao wameweka picha ya mjusi na wimbo katika tovuti ya Shirika la Ndege la Malaysia ambamo wameweka ujumbe usemao kwamba ‘Ndege Haipatikani’ ukihusishwa na ndege namba MH370 ya shirika hilo ambayo ilipotea mwaka jana mwezi Machi na haijapatikana mpaka leo. Picha iliyowekwa kwenye...
10 years ago
Vijimambo30 Jul
MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/07/150307074359_mh370_512x288_non_nocredit.jpg)
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.
Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.
Hata hivyo,...
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Nyumba ya rubani wa ndege yachunguzwa
Polisi wa Ujerumani wamegundua kile wanachosema kitawasaidia kubaini kiini cha rubani msaidizi Andreas Lubitz, kuangusha ndege
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania