‘Rugemalira should have been charged’
PCCB man concedes giver of bribe is also culpable
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen24 Nov
Lipumba: Arrest Sethi, Rugemalira
10 years ago
Daily News05 Mar
Ngurumo 'accepted money from Rugemalira'
Daily News
IT has finally been revealed that State House Comptroller, Mr Shaban Rajab Ngurumo, never received 800m/- from a prominent businessman, James Rugemalira, as previously propagated in the National Assembly and subsequently widely published in the ...
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Zitto amlipua Rugemalira wa Escrow
Na Bakari Kimwanga, Iringa
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameeleza kushangazwa na hatua ya Serikali kuwapatia kazi ya ujenzi wa Bandari ya Mwambani mkoani Tanga watuhumiwa wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.
Amesema watuhumiwa hao wamepewa kazi hiyo kupitia Mradi wa Mwambani Economic Corridor (MWAPORC), ambao utagharimu Sh trilioni 54, huku kukiwa hakuna taratibu za utangazaji wa zabuni zilizofuatwa na Serikali.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia mikutano...
10 years ago
Uhuru Newspaper05 Mar
Gurumo: Aulizwe Rugemalira ndio amenipa fedha
NA WAANDISHI WETU MNIKULU katika Ofisi ya Rais Ikulu, Shaaban Gurumo, amesema hajui fedha alizopewa na Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira zilikuwa ni za nini ndio maana alizitumia atakavyo. Aidha, ametaka watu wanaohoji kuhusu fedha hizo, wamkabili Rugemalira kwa kuwa ndiye anayejua sababu za kumpatia. Alisenma hawezi kujua Rugemalira alimpa fedha kwa lengo gani, kwa kuwa hicho ni kiasi kidogo na cha kawaida kwake kulingana na fedha alizonazo, hivyo...
10 years ago
Habarileo05 Mar
Mnikulu: Sifahamu sababu za kupewa fedha na Rugemalira
MNIKULU Shaban Gurumo amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kwamba alipokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa James Rugemalira na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi, ingawa amekanusha kuomba fedha hizo.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CszwxK6BXcY/VJWy_HvzfAI/AAAAAAADSS4/xuGtB63i3yM/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Chadema chadai kunasa ujumbe wa Rugemalira kwenda kwa JK
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Slaa-20Dec2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CszwxK6BXcY/VJWy_HvzfAI/AAAAAAADSS4/xuGtB63i3yM/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa,...
10 years ago
Mwananchi26 Jan
NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani
10 years ago
Michuzi09 Sep
RUGEMALIRA KUJENGA KITUO KIKUBWA CHA TIBA YA SARATANI YA MATITI BUKOBA