Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Rugemalira should have been charged’

PCCB man concedes giver of bribe is also culpable

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Lipumba: Arrest Sethi, Rugemalira

>Civic United Front (CUF) chairman Prof Ibrahim Lipumba now wants the architects of the Tegeta escrow scam immediately arrested.

 

10 years ago

Daily News

Ngurumo 'accepted money from Rugemalira'


Ngurumo 'accepted money from Rugemalira'
Daily News
IT has finally been revealed that State House Comptroller, Mr Shaban Rajab Ngurumo, never received 800m/- from a prominent businessman, James Rugemalira, as previously propagated in the National Assembly and subsequently widely published in the ...

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto amlipua Rugemalira wa Escrow

Na Bakari Kimwanga, Iringa

KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameeleza kushangazwa na hatua ya Serikali kuwapatia kazi ya ujenzi wa Bandari ya Mwambani mkoani Tanga watuhumiwa wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.

Amesema watuhumiwa hao wamepewa kazi hiyo kupitia Mradi wa Mwambani Economic Corridor (MWAPORC), ambao utagharimu Sh trilioni 54, huku kukiwa hakuna taratibu za utangazaji wa zabuni zilizofuatwa na Serikali.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia mikutano...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Gurumo: Aulizwe Rugemalira ndio amenipa fedha



NA WAANDISHI WETU MNIKULU katika Ofisi ya Rais Ikulu, Shaaban Gurumo, amesema hajui fedha alizopewa na Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira zilikuwa ni za nini ndio maana alizitumia atakavyo. Aidha, ametaka watu wanaohoji kuhusu fedha hizo, wamkabili Rugemalira kwa kuwa ndiye anayejua sababu za kumpatia. Alisenma hawezi kujua Rugemalira alimpa fedha kwa lengo gani, kwa kuwa hicho ni kiasi kidogo na cha kawaida kwake kulingana na fedha alizonazo, hivyo...

 

10 years ago

Habarileo

Mnikulu: Sifahamu sababu za kupewa fedha na Rugemalira

Mnikulu Shaban GurumoMNIKULU Shaban Gurumo amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kwamba alipokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa James Rugemalira na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi, ingawa amekanusha kuomba fedha hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema imemhoji na inaendelea kumchunguza mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), James Rugemalira.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema chadai kunasa ujumbe wa Rugemalira kwenda kwa JK

Katibu Mkuu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Wilbroad Slaa.Rogemalila na Mhe. Jakaya Kikwete katika picha miaka ya nyumaChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kimenasa ujumbe mwingine wa barua pepe ulioandikwa na mmiliki wa Kampuni ya VIP Engeering, James Rugemalira, kwenda kwa Rais Jakaya Kikwete ukimtaka asitekeleze maazimio yaliyofikiwa na Bunge kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow, mpaka uamuzi wa mahakama utakapotolewa.

Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa,...

 

10 years ago

Mwananchi

NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani

>Chama cha NCCR-Magezi kimesema, vigogo wote waliohusika kutoa na kupokea mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow wafikishwe mahakamani akiwamo Mkurugenzi wa VIP Engineering Ltd, James Rugemalira .

 

10 years ago

Michuzi

RUGEMALIRA KUJENGA KITUO KIKUBWA CHA TIBA YA SARATANI YA MATITI BUKOBA

 Mshauri wa Biashara wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits LTD , James Rugemarila (kushoto) na Mwenyekiti wa kampuni hiyo, Benedicta Rugemalira wakim (kulia) zawadia Daktari Bingwa wa magonjwa ya saratani ya matiti, Profesa Anthony Pais kutoka India ambaye amemaliza ziara nchini baada ya kufanya mihadhara mbalimbali na madaktari kuhusu ugonjwa huo. Profesa Pais alifanyiwa hafla ya kuagwa jana katika Hoteli ya Courty Yard, Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani