Gurumo: Aulizwe Rugemalira ndio amenipa fedha
NA WAANDISHI WETU MNIKULU katika Ofisi ya Rais Ikulu, Shaaban Gurumo, amesema hajui fedha alizopewa na Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira zilikuwa ni za nini ndio maana alizitumia atakavyo. Aidha, ametaka watu wanaohoji kuhusu fedha hizo, wamkabili Rugemalira kwa kuwa ndiye anayejua sababu za kumpatia. Alisenma hawezi kujua Rugemalira alimpa fedha kwa lengo gani, kwa kuwa hicho ni kiasi kidogo na cha kawaida kwake kulingana na fedha alizonazo, hivyo...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Mar
Mnikulu: Sifahamu sababu za kupewa fedha na Rugemalira
MNIKULU Shaban Gurumo amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kwamba alipokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa James Rugemalira na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi, ingawa amekanusha kuomba fedha hizo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s72-c/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA RUGEMALIRA AIAMBIA MAHAKAMA AMEMUANDIKIA BARUA GAVANA BOT ILI KUORODHESHA MAJINA YA WALIOPOKEA FEDHA ZA ESCRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s320/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa amemuandikia barua Gavana wa Benki Kuu ya Tanzani(BoT), akimuomba amuorodheshee majina ya watu wote waliopokea fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ili ajisafishe kwani yeye hakupokea hata senti moja.
Hata hivyo Gavana alimjibu atatoa orodha hiyo pale atakapopata amri halali ya Mahakama ya kumtaka kufanya hivyo. Pia Rugemalira amedai ameandika notisi kwa taasisi...
10 years ago
GPLMZIWANDA: SHILOLE AMENIPA MWANGA
9 years ago
Bongo502 Dec
Akon amenipa mwanga mkubwa kimuziki – Mayunga
![Pic 3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Pic-3-300x194.jpg)
Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga amesema kukutana na Akon nchini Marekani kumempa mwanga kimuziki.
Mayunga akisalimiana na Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Malya
Muimbaji huyo aliyerejea nchini kutoka Marekani, alikutana na Akon nyumbani kwake Los Angeles na kurekodi naye wimbo.
Akiwa huko, Mayunga amesema alipata mafunzo mengi ya muziki.
“Fursa hii imenipa mwanga zaidi katika namna ya kufikiri na kujipanga ili kuzifikia ndoto zangu katika tasnia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s72-c/20150623064932.jpg)
Mh. Lowassa aipigia kura ya ndio bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s640/20150623064932.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xCzanCycTBg/VYllaXGfGDI/AAAAAAAHi2g/ktdKjUSOSl0/s640/201506264932.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s72-c/20150623064932.jpg)
LOWASSA AIPIGIA KURA YA NDIO BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFMnzbYClmw/VYlkZR-jErI/AAAAAAAHi2Q/JteIVj2kKcI/s640/20150623064932.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xCzanCycTBg/VYllaXGfGDI/AAAAAAAHi2g/ktdKjUSOSl0/s640/201506264932.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PAAluX4P19g/default.jpg)
9 years ago
TheCitizen04 Sep