Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


S Leone yatarajia kutangazwa haina Ebola

Kumekuwa na sherehe za kufana nchini Sierra Leone wakati raia wanaposubiri tangazo rasmi la shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa taifa hilo sasa halina maradhi ya Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

WHO:Sierra Leone haina Ebola

Maelfu ya watu wa Sierra Leone wameteremka katika barabara za mji mkuu, Freetown, kusherehekea kuwa zimepita siku 42 bila ya mtu yeyote kuuguwa ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia kutangazwa taifa lisilo na Ebola

Shirika la afya duniani WHO linatarajiwa kuitangaza Liberia kuwa isiyo na ugonjwa wa ebola wakati litakapothibitisha kuwa nchi hiyo haina kisa chengine kipya kwa siku 42 zilizopita.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency

World Bank President Jim Yong Kim speaks during a news conference in New Delhi March 13, 2013. REUTERS/B Mathur (INDIA - Tags: BUSINESS)

New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery

The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.

The...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Liberia haina Ebola tena

Shirika la Afya Duniani, WHO, limetangaza rasmi kwamba hakuna tena Ebola nchini Liberia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mali haina wagonjwa wapya wa Ebola

Waziri wa Afya wa Mali amesema kwa sasa haina maambukizi ya virusi vya Ebola baada ya siku 42 za kutokuwa na wagonjwa wapya .

 

11 years ago

Mtanzania

Tanzania haina kipimo cha Ebola

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Aziza Masoud na Geofrey Jacka, Dar es Salaam

SERIKALI imesema haina vipimo vya kutambua ugonjwa wa Ebola.

Kutokana na hali hiyo imesema ikiwa atatokea mgonjwa mwenye virusi vya ugonjwa huo watalazimika kupeleka damu ya mgonjwa jijini Nairobi nchini Kenya ambako kuna maabara inayoweza kutambua virusi hivyo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema kutokana na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania haina ugonjwa wa EBOLA, udhibiti viwanja vya ndege na mipakani waimarishwa

SONY DSC

Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola, Virusi vyake , dalili na namna unavyoenea wakati wa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo jijini Dar es salaam.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO.

Imeelezwa kuwa Tanzania kwa sasa haina  raia yeyote  aliyeingia nchini kutoka mataifa mengine aliyebainika kuwa na maabukizi ya Virusi vya ugonjwa wa Ebola kufuatia zoezi...

 

10 years ago

BBC

Sierra Leone gets UK Ebola centre

A British-run facility to treat people with Ebola is opening near the Sierra Leone capital, Freetown.

 

9 years ago

BBC

VIDEO: What next for Sierra Leone after Ebola?

Sierra Leone is declared free of the deadly Ebola virus but it still bears the scars of the disease.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani