S Leone yatarajia kutangazwa haina Ebola
Kumekuwa na sherehe za kufana nchini Sierra Leone wakati raia wanaposubiri tangazo rasmi la shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa taifa hilo sasa halina maradhi ya Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
WHO:Sierra Leone haina Ebola
10 years ago
BBCSwahili09 May
Liberia kutangazwa taifa lisilo na Ebola
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency
New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery
The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.
The...
10 years ago
BBCSwahili09 May
UN:Liberia haina Ebola tena
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Mali haina wagonjwa wapya wa Ebola
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Tanzania haina kipimo cha Ebola
![Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Dk.-Seif-Rashid.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Aziza Masoud na Geofrey Jacka, Dar es Salaam
SERIKALI imesema haina vipimo vya kutambua ugonjwa wa Ebola.
Kutokana na hali hiyo imesema ikiwa atatokea mgonjwa mwenye virusi vya ugonjwa huo watalazimika kupeleka damu ya mgonjwa jijini Nairobi nchini Kenya ambako kuna maabara inayoweza kutambua virusi hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema kutokana na...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Tanzania haina ugonjwa wa EBOLA, udhibiti viwanja vya ndege na mipakani waimarishwa
Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola, Virusi vyake , dalili na namna unavyoenea wakati wa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Imeelezwa kuwa Tanzania kwa sasa haina raia yeyote aliyeingia nchini kutoka mataifa mengine aliyebainika kuwa na maabukizi ya Virusi vya ugonjwa wa Ebola kufuatia zoezi...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78769000/jpg/_78769018_78768009.jpg)
Sierra Leone gets UK Ebola centre
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/23EB/production/_86559190_slexplainer.jpg)
VIDEO: What next for Sierra Leone after Ebola?