SADC yaishukuru Tanzania kwa mchango wa ukombozi na kumpongeza Mzee Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-WmnZ-wWzybc/U_DDSaypZ1I/AAAAAAAGARg/aaN6fbS0QpA/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Rais Robert Gabriel Mugabe wa Zimbabwe akimkabidhi Bi. Sheila Hashim Mbita, binti yake Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita Tuzo ya Juu ya Taifa la Zimbabwe ya Nishani ya Royal Order Of Mwanamutapa kwa kutambua mchango wake katika ukombozi wa Taifa la Zimbabwe na nchi nyingine kusini mwa Afrika. Rais Mugabe alikabidhi tuzo hiyo wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa 34 wa wakuu wa SADC unaofanyika katika mji wa kitalii wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oA9GE-zF3Zc/U_C2GG2mf8I/AAAAAAAGAQ4/XgibjC25F-c/s72-c/D92A4879.jpg)
Mwanafunzi wa Tanzania Aibuka mshindi wa Kwanza Tuzo ya Isha SADC, Rais Mugabe amtunuku Brigedia Jenerali(Mstaafu) Hashim Mbita
![](http://4.bp.blogspot.com/-oA9GE-zF3Zc/U_C2GG2mf8I/AAAAAAAGAQ4/XgibjC25F-c/s1600/D92A4879.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-z0Ht1V24a0M/U_C2IOHRhzI/AAAAAAAGARE/AedCvZeuAjY/s1600/D92A4896.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s72-c/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
JUST IN: gwiji la ukombozi wa afrika kusini brigedia jenerali hashim mbita afariki dunia leo dar es salam
![](http://2.bp.blogspot.com/-WHzRVzpI8pk/VTyW2ArZOWI/AAAAAAAHTWQ/RZPryQB9J0E/s1600/I0000mvLrZtLR6TE.jpg)
Habari zilizotujia hivi punde zinasema Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam.
Mzee Mbita atakumbukwa Tanzania, bara zima la Afrika na dunia kwa jumla kama kamanda mahiri aliyeshiriki kikamilifu katika uondoshaji wa utawala wa ukoloni barani Afrika, hususan utawala kidhalimu wa makaburu Zimbabwe na Afrika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-crKEZLTdSUc/U7LjVoOpaLI/AAAAAAAFt9M/pHSnadEDqus/s72-c/D92A4694.jpg)
Rais Kikwete awajulia hali Mzee Hashim Mbita na Mbunge Donald Max
![](http://4.bp.blogspot.com/-crKEZLTdSUc/U7LjVoOpaLI/AAAAAAAFt9M/pHSnadEDqus/s1600/D92A4694.jpg)
10 years ago
New Kerala27 Apr
Tanzania's liberation icon Hashim Mbita dies at 74
Economy Lead
New Kerala
Hashim Mbita, a Tanzanian army general and the icon of the southern Africa liberation struggle, died at the age of 74 on Sunday after a long illness. The East African nation's State House in the commercial capital Dar es Salaam said in a statement that Mbita, ...
Hashim Mbita is no moreDaily News
all 7
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Rais Kikwete atoa heshima za Mwisho kwa Brigedia Jenerali Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NzuEqHKXgZc/VUDftii9sCI/AAAAAAAHUBY/fq5FPSRFWNk/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Tanzania yampoteza mtu muhimu, ni Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki dunia mapema leo
Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita
Taifa likiwa katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania Bar na Zanzibar, mapema leo limepata pigo baada ya kuondokewa na mtu muhimu na aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki katika dunia majira ya asubuhi katika hospitali kuu ya Jeshi, Lugalo, jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa duru za habari kutoka familia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s72-c/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita
![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s1600/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
10 years ago
MichuziMH. MEMBE AKABIDHI HUNDI YA DOLA LAKI 1 KWA FAMILIA YA BRIGEDIA JENERALI HASHIM MBITA
10 years ago
VijimamboMHE. BERNARD MEMBE AKABIDHI HUNDI YA $ 100,000 KWA MTOTO WA BRIGEDIA JEN. MSTAAFU HASHIM MBITA