Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sadifa ampaka Mrema mafuta kwa mgongo wa chupa

>Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema ametajwa kuwa ni mpinzani mstaarabu kwa sababu ya kuweka kando itikadi za kisiasa na kushirikiana na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kutekeleza shughuli za maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital

Dr Yash Gulati, Senior Spine and Joint Replacement Surgeon at Apollo Hospitals; Delhi.Na Mwandishi Wetu,

Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.

Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...

 

9 years ago

Michuzi

Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital

Dr Yash Gulati, Senior Spine and Joint Replacement Surgeon at Apollo Hospitals; DelhiNa Mwandishi Wetu,
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chupa ndogo hatari kwa walevi DRC

Unywaji wa pombe umeongezeka kwa kiasi kikubwa mjini Kinshasa DRC kutokana na utengenezaji wa chupa ndogo za pombe

 

11 years ago

GPL

BABA AMUUA MTOTO KWA CHUPA YA BIA

Stori: Imelda mtema
Masikini wa Mungu! Baba aliyetajwa jina moja la Shaban (25), mkazi wa Kimara-Suka, Dar anadaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto wake asiye na hatia, Salma Shaban (miezi sita) kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani na kusababisha mshipa mkubwa wa damu kukatika kichwani. Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kuumiza moyo, mama mzazi wa mtoto huyo, Matlida Amon alieleza kuwa tukio hilo lilijiri maeneo hayo...

 

10 years ago

Habarileo

Chupa tupu za maji zamwingizia 180,000/- kwa mwezi

MKAZI wa Manzese, Kata ya Mafiga, Manispaa ya Morogoro, Oscar Philipo amemudu kuihudumia familia yake ya watoto wawili kutokana na biashara ya kuokota na kuuza chupa tupu za maji zinazomwingizia Sh 180,000 kila mwezi, imefahamika.

 

11 years ago

GPL

WEMA AFUNGA MWAKA KWA MGONGO WAZI

Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu hivi karibuni ameachia picha tata kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram zikimuonesha akiwa ameacha mgongo wazi, jambo lililotafsiriwa na wengi kuwa ameamua kufunga mwaka huu kwa staili hiyo ya kuacha mgongo nje, Showbiz inakudondoshea. Wema Sepetu akiwa ameacha mgongo wake wazi. Katika picha hizo, Wema anaonekana kujichora tatoo kibao kuanzia shingoni na kumfanya aonekane tofauti na...

 

11 years ago

Michuzi

ZIARA YA SADIFA YATIKISA KATA YA KAWE

 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM, Taifa, Sadifa Juma (wapili kushoto) akiwasili kwenye Uwanja wa Mkutano eneo la Tanganyika Packers, Kawe Dar es Salaam, Jumapili, Aprili 27, 2014 ambako mbali na kuhutubia mkutano wa hadhara, alikabidhi vifaa vya michezo kwa timu mbalimbali za soka katika kata ya Kawe. Kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM Kata ya Kawe, Lilian Rwebangila na Katibu wa UVCCM wa kata hiyo, Aisha Katundu na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Kata hiyo Said Herry.  Vijana wa CCM na...

 

10 years ago

Mtanzania

Sadifa: Hakuna jina litalokatwa Kamati Kuu

sadifaNA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Khamis Juma amesema, ndani ya vikao vya Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) hakuna jina la mgombea litakalokatwa bila kumuonea mtu.
Kauli hiyo aliitoa juzi jijini hapa katika sherehe za kumwapisha Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya ya Arusha DC, Mathias Manga kuwa Kamanda wa vijana wa wilaya hiyo.
Akizungumza na mamia ya wanachama na viongozi wa CCM kutoka mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na...

 

10 years ago

Habarileo

Sadifa awaondoa hofu CCM sifa za mgombea urais

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma SadifaWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamehakikishiwa kuwa Kamati Kuu ya chama hicho itateua mgombea urais mwenye sifa zinazostahili na anayekubalika kwa wananchi na haitakata jina la mgombea bila sababu za msingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani