Sadifa ampaka Mrema mafuta kwa mgongo wa chupa
>Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema ametajwa kuwa ni mpinzani mstaarabu kwa sababu ya kuweka kando itikadi za kisiasa na kushirikiana na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kutekeleza shughuli za maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4QW4oBbZUs/VoJh2eNL2vI/AAAAAAAAIfA/BmWbFFzxq8U/s1600/Dr%2B-Yash-Gulati.jpg)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.
Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Chupa ndogo hatari kwa walevi DRC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t-JMrd4zSx6Zz9VP*PWVMig-WpDyEwn31Ag1OIhTHeHBtiA4dfgTyv7nW1CYhZ7EKxKZ2Hwu9YjtznkHFeMa-5v/baba.jpg?width=650)
BABA AMUUA MTOTO KWA CHUPA YA BIA
10 years ago
Habarileo08 Oct
Chupa tupu za maji zamwingizia 180,000/- kwa mwezi
MKAZI wa Manzese, Kata ya Mafiga, Manispaa ya Morogoro, Oscar Philipo amemudu kuihudumia familia yake ya watoto wawili kutokana na biashara ya kuokota na kuuza chupa tupu za maji zinazomwingizia Sh 180,000 kila mwezi, imefahamika.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0lunvNYZoP2wfmTfffX7wP-DHjcDN1A0jlBhidIXRr0eRz*-Z45C1ud2jmli4ip-P8gCESMmH*I3ukaN6B-q5H-/WEMA.jpg?width=650)
WEMA AFUNGA MWAKA KWA MGONGO WAZI
11 years ago
Michuzi29 Apr
ZIARA YA SADIFA YATIKISA KATA YA KAWE
![](https://3.bp.blogspot.com/-zV0UtZmpjAw/U14YU9mm6OI/AAAAAAAAl1A/LqioAjqTJp8/s1600/2.+Vijana+katika+shamrashamra.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 Feb
Sadifa: Hakuna jina litalokatwa Kamati Kuu
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Khamis Juma amesema, ndani ya vikao vya Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) hakuna jina la mgombea litakalokatwa bila kumuonea mtu.
Kauli hiyo aliitoa juzi jijini hapa katika sherehe za kumwapisha Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya ya Arusha DC, Mathias Manga kuwa Kamanda wa vijana wa wilaya hiyo.
Akizungumza na mamia ya wanachama na viongozi wa CCM kutoka mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na...
10 years ago
Habarileo23 Feb
Sadifa awaondoa hofu CCM sifa za mgombea urais
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamehakikishiwa kuwa Kamati Kuu ya chama hicho itateua mgombea urais mwenye sifa zinazostahili na anayekubalika kwa wananchi na haitakata jina la mgombea bila sababu za msingi.