SAFINA APONGEZWA KUZAA KIDUME
![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k5D20B*DCE2FP1dlz-WKzSlZcIgKokWk7fz0F7qmHfwJrOL1LnWVBcOcUUWjFxUbuA3AkHsJ5W0LM-X*9XJlc1H/safina.jpg?width=650)
Na Hamida Hassan MCHEKESHAJI maarufu Bongo wa Kipindi cha Mizengwe kinachorushwa kupitia Runinga ya ITV, Jessica Kindole ‘Safina’ amepongezwa kwa kujifungua salama mtoto wa kiume. Mchekeshaji maarufu Bongo wa Kipindi cha Mizengwe, Jessica Kindole ‘Safina’ Akizungumza na paparazi wetu, Safina aliyejifungua katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar hivi karibuni, alisema amepokea pongezi nyingi kutoka kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfg87XsxH3hlHbqHJVY5ALaOkCDYQK8qefza736DJHlDg5NHjeZqtXb042pqtISKh52Vwj1QO2ZFHDMbstMteGnL/safina.jpg?width=650)
SAFINA WA MIZENGWE AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnk9CuuCTeBrt3SXeApWPt4a5X98ctuhyPOpzXDHKfKgLJ*B9AAk8ARWNun2Pn7wD1RUzobEzYiPfRvzQ-toAHC/odama.jpg?width=650)
ODAMA AJIFUNGUA KIDUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIl59lUHBWKq21hA3Txc4mUQFS2uzgbArE22kWyQb-Lt2ZdboY0L5MK53b3*IB9eEEQnQwYPGqXOVGwompGlbA9W/MC.jpg)
KIDUME WA MA - MC WA KIKE ANASWA
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Uganda kidume Chalenji 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt4ALmDck2OvJDxn5wQHwOfQH0d-NAvuSknFP-gL8w9*PHdVncNe8E42shJYdObAt-MCMawrPvPmqsPOWE1DvNL4/BACKRISASI.gif?width=650)
ALIYEZAA NA NAY ANASWA NA KIDUME UGANDA
10 years ago
GPLMARY MAWIGI AJIFUNGUA KIDUME KWA KISU
10 years ago
Vijimambo15 Dec
JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/HMB_6496.jpg)
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dk Salim apongezwa