Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAFINA APONGEZWA KUZAA KIDUME

Na Hamida Hassan
MCHEKESHAJI maarufu Bongo wa Kipindi cha Mizengwe kinachorushwa kupitia Runinga ya ITV, Jessica Kindole ‘Safina’ amepongezwa kwa kujifungua salama mtoto wa kiume. Mchekeshaji maarufu Bongo wa Kipindi cha Mizengwe, Jessica Kindole ‘Safina’ Akizungumza na paparazi wetu, Safina aliyejifungua katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar hivi karibuni, alisema amepokea pongezi nyingi kutoka kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SAFINA WA MIZENGWE AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

STAA mkongwe wa vichekesho kutoka kundi la Kashikash Bongo linalorusha michezo yake kupitia Kipindi cha Mizengwe runinga ya ITV, Jessica Kindole ‘Safina’ amejifungua mtoto wa kiume katika Hospitali ya Lugalo, jijini Dar es Salaam. Jessica Kindole ‘Safina’ akiwa hospitali kabla ya kujifungua.

 

11 years ago

GPL

ODAMA AJIFUNGUA KIDUME

Stori: Imelda Mtema
HABARI njema! Staa wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ amejifungua kidume huku akikataa kumtaja baba wa mtoto huyo. Staa wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’. anayedaiwa kwamba ni mheshimiwa serikalini.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu makini, Odama alijifungua kwa operesheni hivi karibuni kwenye Hospitali ya Kairuki jijini Dar baada ya kuwa kimya kwa miezi kadhaa...

 

10 years ago

GPL

KIDUME WA MA - MC WA KIKE ANASWA

Stori:Richard Bukos
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Yona Nathal, mkazi wa Ubungo ya River Side jijini Dar es Salaam, Jumanne iliyopita alijikuta katika timbwili zito na kundi la washereheshaji maarufu wa kike Dar ‘ma -MC’ baada ya kubainika kuwachanganya kimapenzi. Yona Nathal akiwa chini ya ulinzi wa polisi. AWEKEWA MTEGO
Ilidaiwa kuwa Yona ameshawatokea baadhi ya ma-MC  hao kwa nyakati tofauti na...

 

9 years ago

Mwananchi

Uganda kidume Chalenji 2015

Timu ya Uganda imethibitisha ubora wake unaoifanya iwe kinara wa soka kwa nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kulingana na viwango vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) inakoshika nafasi ya 68 duniani baada ya kutwaa Kombe la Chalenji mwaka 2015.

 

10 years ago

GPL

ALIYEZAA NA NAY ANASWA NA KIDUME UGANDA

Gladness Mallya
KABAANG! Zilipendwa wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amezua gumzo la aina yake baada ya kunaswa na ‘kidume’ kingine nchini Uganda. Zilipendwa wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichowafuatilia wawili hao hatua kwa hatua, mpango mzima ulianzia jijini Mwanza...

 

10 years ago

GPL

MARY MAWIGI AJIFUNGUA KIDUME KWA KISU

Msanii wa filamu za Kibongo, Mary Mawigi.
Gladness Mallya
Msanii wa filamu za Kibongo, Mary Mawigi hivi karibuni amejifungua mtoto wa kiume kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Mico iliyopo Sinza jijini. Akizungumza na Ijumaa, Mary alisema kuwa ana furaha sana ya kupata mtoto kwani ni kitendo alichokisubiri kwa muda mrefu na Mungu amemjaalia. “Nina furaha sana kwa maana mtoto ni baraka ambayo nilikuwa nikiisubiri...

 

10 years ago

Vijimambo

JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’

Na Shaffih Dauda, Dar es salaam.
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Salim apongezwa

>Siku moja baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim kusema kuwa hana mpango na hafikirii tena kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wasomi na wanasiasa wamezungumzia kauli hiyo wakisema ni ya kishujaa inayofaa kuigwa na viongozi  wengine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani