MARY MAWIGI AJIFUNGUA KIDUME KWA KISU
Msanii wa filamu za Kibongo, Mary Mawigi. Gladness Mallya Msanii wa filamu za Kibongo, Mary Mawigi hivi karibuni amejifungua mtoto wa kiume kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Mico iliyopo Sinza jijini. Akizungumza na Ijumaa, Mary alisema kuwa ana furaha sana ya kupata mtoto kwani ni kitendo alichokisubiri kwa muda mrefu na Mungu amemjaalia. “Nina furaha sana kwa maana mtoto ni baraka ambayo nilikuwa nikiisubiri...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnk9CuuCTeBrt3SXeApWPt4a5X98ctuhyPOpzXDHKfKgLJ*B9AAk8ARWNun2Pn7wD1RUzobEzYiPfRvzQ-toAHC/odama.jpg?width=650)
ODAMA AJIFUNGUA KIDUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfa8UH71npBarHEI97luvHCmXtdQorwGfFpFNpx9ud62E7eY4-VSj9RBQNJBT6wBO1Vu9uP4NuZVdmokABmLMGkb/LULU.jpg?width=650)
LULU MAWIGI YANATUZEESHA JAMANI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu
MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mume aua mke kwa kisu
WATU watano wamekufa mkoani Rukwa katika matukio tofauti, akiwemo Silvia Patrick aliyeuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu kifuani kutokana na wivu wa mapenzi. Joseph Dominick (33) baada ya kumuua mkewe huyo mwenye miaka 26, alijaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni, lakini hakufa na amelazwa katika Kituo cha Afya cha Kamasamba wilayani Momba mkoani Mbeya akiwa chini ya ulinzi.
11 years ago
Habarileo29 Apr
Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu
MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6Hhhn2uA7i7bbe1wIobmF1d8rXDNQToJBo1ljg89sN6VZbxTAz6Tp1AHeBily3KnYeDfJl4os-fVR3ge3xr3ZfZ1/wivunoma.jpg?width=650)
WIVU ULIVYOMUUA DENTI KWA KISU
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EhBpAOZT0USh-an4RGSTW*NOPZpKcjrZo3mfgzf-pCVgbiuruItEotXkH7OmsYOmsg8njC6cygwGBwx6CMPst3I/johari.jpg)
EXCLUSIVE: JOHARI AJIFUNGUA KWA SIRI