WIVU ULIVYOMUUA DENTI KWA KISU
![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6Hhhn2uA7i7bbe1wIobmF1d8rXDNQToJBo1ljg89sN6VZbxTAz6Tp1AHeBily3KnYeDfJl4os-fVR3ge3xr3ZfZ1/wivunoma.jpg?width=650)
Na Joseph Ngilisho, ARUSHA SIRI nzito ya mauaji ya kinyama ya mwanafunzi wa Chuo cha Savanna Bridge cha jijini Arusha, Winfrida Akunay (18) aliyechomwa kisu mara sita eneo la shingo na kifua mbele ya baba yake mzazi imegundulika, Amani linakupatia. Winfrida Akunay (18) enzi za uhai wake. Kwa mujibu wa chanzo cha ndani, mtuhumiwa wa mauaji hayo, Robert Isaac (22) alitimiza ukatili huo nyumbani kwa baba wa marehemu Majengo Juu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gOL8Kw6AmAU/VDzivY70CoI/AAAAAAADJr8/ZQLRmw6dgus/s72-c/dent5.jpg)
DENTI AJICHOMA KISU! KWA KUCHOSHWA NA USALITI WA MPENZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-gOL8Kw6AmAU/VDzivY70CoI/AAAAAAADJr8/ZQLRmw6dgus/s1600/dent5.jpg)
Stori: Musa Mateja wa GPL
LOO! Mwanafunzi wa Chuo cha T.I.A tawi la mkoani Singida, Moza Kasim Mohemed (20) ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam, amejichoma kisu tumboni kwa madai ya kuchoshwa na usaliti wa mpenzi wake aitwaye Joel ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho.
Tukio hilo la kushangaza lilitokea usiku wa kuamkia Oktoba 10, mwaka huu maeneo ya Jovena katika Hosteli za Miami ambapo Moza alikuwa akiishi na mpenzi wake...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mwalimu afa kwa kuchomwa kisu, kisa wivu wa mapenzi
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti mkoani Kilimanjaro, likiwamo la mwalimu wa shule ya sekondari Minja wilayani Mwanga, Tumaini Magila (27) kumuua mumewe Sweetbert Magila (48) kwa kumchoma kisu, kutokana na wivu wa kimapenzi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIYxCRvXu3fCizytbuCp2xiigobSYAwqzZkkDXnn8lGxzgFHb2qhYS-HyooFp6sZ2Fefz8vRhqukpu0SXKSbke46/denti.jpg?width=650)
DENTI AJICHOMA KISU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc4QBSWFJlwKHnNAqwq06PoMxdpASpB-LgjmQWlUrSzsVp681KkP9iHctbmIanzAvVRr7TarL27DnFQemMcrEFz-/Amanback80.gif)
DENTI MWENZAKE LULU ACHOMWA KISU, AFARIKI
10 years ago
Habarileo11 Feb
Ajinyonga hadi kufa kwa gauni la mkewe kwa wivu
MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi.
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Kwa wivu,Mume amjeruhi mkewe kwa shoka
10 years ago
Habarileo18 Dec
Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu
MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mume aua mke kwa kisu
WATU watano wamekufa mkoani Rukwa katika matukio tofauti, akiwemo Silvia Patrick aliyeuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu kifuani kutokana na wivu wa mapenzi. Joseph Dominick (33) baada ya kumuua mkewe huyo mwenye miaka 26, alijaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni, lakini hakufa na amelazwa katika Kituo cha Afya cha Kamasamba wilayani Momba mkoani Mbeya akiwa chini ya ulinzi.