SALAAM ZA RAMBIRAMBI KWA KIFO CHA MAALIM GURUMO
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Muhidini Maalimu Ngurumo. “Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Muhidini Maalimu Ngurumo ambaye mchango wake katika muziki wa dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YD28cV0ItU/U0uhy__e2bI/AAAAAAAFakI/BBwqLCxMeJk/s72-c/basata_logo.jpg)
basata yaomboleza kifo cha muhidin maalim gurumo
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YD28cV0ItU/U0uhy__e2bI/AAAAAAAFakI/BBwqLCxMeJk/s1600/basata_logo.jpg)
“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Muhidini Maalimu Ngurumo ambaye mchango wake katika muziki wa dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.” Baraza linatoa pole kwa familia ya marehemu na wasanii wote...
10 years ago
Michuzi30 Apr
KIFO CHA MBITA: CCM YATOA SALAAM ZA RAMBIRAMBI
Ndugu Rais, Amiri Jeshi Mkuu na Ndugu Waombolezaji,
Maisha ni safari na kila safari huwa na mwisho wake, Tuko hapa kwa kuwa safari ya Brig. Gen. Hashim Mbita duniani imefika ukingoni. Tumekusanyika hapa siyo kuhuzunika bali kujivunia safari ya mafanikio makubwa ya Mwanamapinduzi, Mpiganaji,...
11 years ago
Michuzi15 Apr
JK RAIS KIKWETE AMLILIA MAALIM GURUMO, ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Rambirambi kwa kifo cha mke wa mwanamuziki John Kitime na Baba yake msanii Dully Sykes
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa kifo cha Mke wa Msanii mkongwe wa muziki wa dansi na Mjumbe wa Bodi ya BASATA Bw. John Kitime kilichotokea mwishoni mwa wiki iliyopita usiku wa kuamkia Ijumaa ya Tarehe 13/02/2014.
Aidha, BASATA linatoa salamu rambirambi kwa kifo cha Baba Mzazi wa Msanii Dully Sykes, Mzee Abby Sykes kilichotokea jana Jumapili ya Tarehe 15/02/2015.
Pamoja na vifo hivi kuacha majonzi na huzuni kwa wanafamilia, ni pigo pia kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z3BWMoplk5QOQWHysa-Bb38l9rnz9e7TPgGkSNxogXGybgR9UfdUGQ1jj-xSGx0XTKaMK6ZSJR7b1YeGNFpJZl*DG-GV3tde/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ar_AinX9-Vg/VOHZSRlDNEI/AAAAAAAHD-s/DCHldFacDb4/s72-c/Untitled.png)
BASATA YATOA RAMBIRAMBI KWA KIFO CHA MKE WA MWANAMUZIKI JOHN KITIME NA BABA YAKE MSANII DULLY SYKES
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ar_AinX9-Vg/VOHZSRlDNEI/AAAAAAAHD-s/DCHldFacDb4/s1600/Untitled.png)
Aidha, BASATA linatoa salamu rambirambi kwa kifo cha Baba Mzazi wa Msanii Dully Sykes, Mzee Abby Sykes kilichotokea jana Jumapili ya Tarehe 15/02/2015.
Pamoja na vifo hivi kuacha majonzi na huzuni kwa wanafamilia, ni pigo pia kwenye tasnia...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Sugu: Kifo cha Gurumo ni pigo
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ambaye pia ni gwiji la muziki wa kizazi kipya, amesema kifo cha mwanamuziki nguli wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo ‘Mjomba’, ni pigo...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Kifo cha ‘Jembe’ Gurumo kilivyowagusa Watanzania
KUFUATIA kifo cha mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Gurumo ‘Mjomba’, wanamuziki wengi wametoa maoni yao jinsi walivyomfahamu. Gurumo aliyefariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...