Sugu: Kifo cha Gurumo ni pigo
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ambaye pia ni gwiji la muziki wa kizazi kipya, amesema kifo cha mwanamuziki nguli wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo ‘Mjomba’, ni pigo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Mar
JK: Kifo cha Komba ni pigo
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amewaongoza mamia ya wananchi wa Jiji la Dar es Salaam, wabunge, viongozi wa Serikali na wanasiasa wengine kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba, huku akisema kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe ni pigo.
Alisema kifo cha Kapteni Komba kimeliondolea Taifa mmoja wa viongozi wake wazuri, msanii mahiri, raia mwema na mzalendo wa kweli.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana, Rais...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Kifo cha ‘Jembe’ Gurumo kilivyowagusa Watanzania
KUFUATIA kifo cha mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Gurumo ‘Mjomba’, wanamuziki wengi wametoa maoni yao jinsi walivyomfahamu. Gurumo aliyefariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb7dKOGX2xLtSV8Up3ntckWlLP*4ifbxVRMBaoA7LjBXMZHL7Xl0t1xx-xAQMorBC9UTmPXOzw6mILjIsbKlBZ7o/APK4b.jpg?width=650)
KIFO CHA KUAMBIANA... STEVE NYERERE: PIGO KWA MADAIREKTA
11 years ago
GPLSALAAM ZA RAMBIRAMBI KWA KIFO CHA MAALIM GURUMO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YD28cV0ItU/U0uhy__e2bI/AAAAAAAFakI/BBwqLCxMeJk/s72-c/basata_logo.jpg)
basata yaomboleza kifo cha muhidin maalim gurumo
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YD28cV0ItU/U0uhy__e2bI/AAAAAAAFakI/BBwqLCxMeJk/s1600/basata_logo.jpg)
“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Muhidini Maalimu Ngurumo ambaye mchango wake katika muziki wa dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.” Baraza linatoa pole kwa familia ya marehemu na wasanii wote...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI YAOMBOLEZA KIFO CHA MWANA MUZIKI MKONGWE MUHIDIN GURUMO (RIP)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s1600/unnamed+(15).jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Sugu anusurika kifo, apata ajali mlima Kitonga