Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SALAM KUTOKA BEDFORD UK


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Vijimambo

SALAM ZA RAMBIRAMBI KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK


Kufuatia kifo cha kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi na kiongozi mstaafu wa serikali mzee wetu Samuel Luangisa kilichotokea tarehe 05/25/2015 mjini New York, Marekani. Chama Cha Mapinduzi tawi la New York na vitongoji vyake inaungana na familia ya marehemu mzee Luangisa na watanzania wote kuomboleza msiba huu mkubwa. Tunatoa rambirambi zetu kwa familia yake hapa Marekani, nyumbani Tanzania na watanzania wote. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amen.Imetolewa...

 

10 years ago

Michuzi

SALAM ZA MWAKA MPYA 2015 KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band a.k.a FFU-Ughaibuni a.k.a "watoto wa mbwa" au viumbe wa ajabu "Anunaki anunnaki aliens" yenye makao yake nchini Ujerumani, inatoa Salam za heri ya mwaka mpya 2015 kwa wadau wote popote pale mlipo,mwaka mpya 2015 uwe wa mafanikio ,Amani na Upendo kwa wote. HAPPY NEW YEAR 2015 ! HAPPY NEW YEAR 2015 !  msikose burudani kamili bofya www.ngoma-africa.com.moja ya show za Ngoma Africa band nchini Ujerumani.

 

11 years ago

Michuzi

SALAM ZA HERI YA "MEI MOSI" KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band" aka FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule ujerumani inatoa salam maarumu za siku ya wafanyakazi duniani "MEI MOSI" aka May Day, Ngoma Africa band itawatakia kila la heri wadau wote duniani kwa kusherehekea sikukuu ya Mei Mosi
Tafadhali pata burudani ya muziki at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
www.facebook.com/ngomaafricaband

 

11 years ago

GPL

SALAM ZA MEI MOSI KUTOKA NGOMA AFRICA BAND‏

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya "Ngoma Africa Band" a.k.a FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule Ujerumani inatoa salamu maalum za Siku ya Wafanyakazi Duniani "MEI MOSI" a.k.a May Day. Ngoma Africa Band itawatakia kila la heri wadau wote duniani katika kusherehekea Sikukuu ya Mei Mosi hapo kesho!

 

11 years ago

Michuzi

SALAM ZA HERI YA MIAKA 50 YA MUUNGANO KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bend maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "NGOMA AFRICA BAND" aka FFU Ughaibuni,yenye makao yake kule nchini Ujerumani,inaungana na watanzania wote nyumbani na ughaibuni katika kusherehekea "MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA",Ngoma Africa band inatoa salam za heri na shangwe kwa watanzania wote popote duniani.
ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR = TANZANIA
                                UDUMU UMOJA WA KITAIFA
                                UDUMU...

 

9 years ago

Michuzi

Salam za Eid na Rambirambi kutoka kwa Zanzibar Diaspora (ZADIA)

TAARIFAAssalamu Alaykum: Kwanza kabisa, napenda kumshukuru Allah Subhanahu Wa Taala kwa kutujaalia kuwa wazima na kuadhimisha Siku Kuu ya Idd Al-Adh-ha ya mwaka 1436H (2015). Idd Al-Adh'ha ni Siku Kuu kubwa kati ya Siku Kuu mbili katika Uislamu, ni siku ya furaha, kwa familia na jamii kwa ujumla. Kwa niaba ya Uongozi wenu wa ZADIA, naungana na WanaZadia wote, Wazanzibari, na Waislamu kwa ujumla katika kuadhimisha siku hii adhimu.Kwa vile hii ni Siku Kuu Kubwa, furaha yangu ingekuwa kubwa...

 

11 years ago

Michuzi

Salam za Heri ya Siku ya "WANAWAKE DUNIANI" kutoka Ngoma Africa Band

Kwa heshima kubwa na unyenyekevu,bendi ya muziki wa dansi  "Ngoma Africa Band" yenye makao nchini Ujerumani,inatoa salam maalumu za kuwapongeza,Mama zetu,Dada zetu,Shangazi zetu akina mama wote katika kusherehekea siku ya WANAWAKE duniani, salam hizi maalumu kutoka kwa watoto wenu Ngoma Africa band zina wito kwa walimwengu wote kwa usemi huu"HAKUNA MTAKATIFU au MTUKUFU hapa duniani hasiyezaliwa na MWANAMKE (Mama) " 
Siku ya " WANAWAKE" oyeeee! Oyeeeee! sikiliza muziki na burudani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani