Salam za Eid na Rambirambi kutoka kwa Zanzibar Diaspora (ZADIA)
TAARIFAAssalamu Alaykum: Kwanza kabisa, napenda kumshukuru Allah Subhanahu Wa Taala kwa kutujaalia kuwa wazima na kuadhimisha Siku Kuu ya Idd Al-Adh-ha ya mwaka 1436H (2015). Idd Al-Adh'ha ni Siku Kuu kubwa kati ya Siku Kuu mbili katika Uislamu, ni siku ya furaha, kwa familia na jamii kwa ujumla. Kwa niaba ya Uongozi wenu wa ZADIA, naungana na WanaZadia wote, Wazanzibari, na Waislamu kwa ujumla katika kuadhimisha siku hii adhimu.Kwa vile hii ni Siku Kuu Kubwa, furaha yangu ingekuwa kubwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s72-c/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita
![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s1600/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s72-c/search.png)
SALAM ZA RAMBIRAMBI KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK
![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s640/search.png)
Kufuatia kifo cha kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi na kiongozi mstaafu wa serikali mzee wetu Samuel Luangisa kilichotokea tarehe 05/25/2015 mjini New York, Marekani. Chama Cha Mapinduzi tawi la New York na vitongoji vyake inaungana na familia ya marehemu mzee Luangisa na watanzania wote kuomboleza msiba huu mkubwa. Tunatoa rambirambi zetu kwa familia yake hapa Marekani, nyumbani Tanzania na watanzania wote. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amen.Imetolewa...
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s72-c/zadia.png)
ZADIA YAZUNGUMZIA HALI YA KUFUTWA KWA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)
Ama kwa hakika kitendo hicho hakikuwa cha busara na...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Taarifa ya ZADIA kuhusu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
JK atuma salam za rambirambi za msiba wa mama mzazi wa Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale, mwili wasafirishwa kwenda Mbeya leo kwa mazishi
![IMG_9952](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_9952.jpg)
Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumu mama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa...
10 years ago
VijimamboMadaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno.Wakiwa Zanzibar
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zqjCb-uW1sE/Vbod-fNRcII/AAAAAAABD6w/82YGmfV2NBE/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zqjCb-uW1sE/Vbod-fNRcII/AAAAAAABD6w/82YGmfV2NBE/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salam za rambi rambi kwa familia ya Moshi Shaban, kufutia kifo cha Moshi kilichotokea jana jijini Dar s salaam na mazishi kufanyika leo jijini Dar es salaam.
Katika salamu zake za rambirambi kwa familia ya marehemu Moshi, TFF imewapa pole wafiwa, ndugu jamaa na marafiki na kusema wako pamoja katika kipindi hiki cha maombelezo na kuomba mwenyezi Mungu awajilie nguzu wafiwa
Marehemu Moshi Shaban ni baba wa wachezaji waliowahi kuichezea timu ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Et8Baavh_8k/VCyswETF1fI/AAAAAAAABuE/m9nfy-kvkXQ/s72-c/BI%2BHAFISA%2BKHAMIS%2BNY%2B2.jpg)
SALAM ZA EID
![](http://2.bp.blogspot.com/-Et8Baavh_8k/VCyswETF1fI/AAAAAAAABuE/m9nfy-kvkXQ/s1600/BI%2BHAFISA%2BKHAMIS%2BNY%2B2.jpg)
Bi Haifa Khamis anamtakia kheri ya Eid kaka yake mpendwa Yahya Khamis na watu wote wa Washington DC na Maryland