Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SALAM ZA EID


Bi Haifa Khamis anamtakia kheri ya Eid kaka yake mpendwa Yahya Khamis na watu wote wa Washington  DC na Maryland

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SALAM ZA EID EL HAJJ

Familia ya Bilal NY inatoa salam za Eid kwa waislam wote popote pale walipo, na wanawaombea mahujaji wote waliokwenda kutekelea nguzo tano (hija) kukubaliwa  hija zao na kurudi safari yao salama, pia wanaombea na wale waliokuwa hawajabahatika kuhiji na wao Mungu awape uwezo, kuweza kutekeleza nguzo hiyo,Amin




 

10 years ago

Vijimambo

SALAM ZA EID MUBARAK

 Humoud Seif na Zuwena Idd wa Maryland USA, wanawasalimia mama zao wazazi Maryam na Safia Humoud, wakiwa Zanzibar, Raya, Rauhia, Jokha, Naila na watoto wao wote wakiwa huko dar es salaam, Tanzania, tunakutakieni sikukuu njema

Mwenyekiti wa Jumuya ya Waislam watanzania (TAMCO) Washington DC, pamoja na familia yake  wanawatakia watanzania wote Eid njema, furaha na amaniBwana Deddy Ruba na sheikh Yussuf Makka wakiwa na wingi wa furana na familia zao, wanawatakia watu wote Eid njema





 

11 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Michuzi

Salam za Eid na Rambirambi kutoka kwa Zanzibar Diaspora (ZADIA)

TAARIFAAssalamu Alaykum: Kwanza kabisa, napenda kumshukuru Allah Subhanahu Wa Taala kwa kutujaalia kuwa wazima na kuadhimisha Siku Kuu ya Idd Al-Adh-ha ya mwaka 1436H (2015). Idd Al-Adh'ha ni Siku Kuu kubwa kati ya Siku Kuu mbili katika Uislamu, ni siku ya furaha, kwa familia na jamii kwa ujumla. Kwa niaba ya Uongozi wenu wa ZADIA, naungana na WanaZadia wote, Wazanzibari, na Waislamu kwa ujumla katika kuadhimisha siku hii adhimu.Kwa vile hii ni Siku Kuu Kubwa, furaha yangu ingekuwa kubwa...

 

10 years ago

Michuzi

Sheikh Muhammad Eid (Abu Eid) kuzungumza na Waumin Kiislam Coventry,UK ijumaa hii

ASSALAM ALAIKUM WARAHMATUL LWAHI WABARAKAATUH
Coventry Muslim Swahili Association (COMSWA) inayo furaha kuwatangazia kuwa Sheikh mwenye ushawishi mkubwa Tanzania na nje ya Tanzania, Sheikh Muhammad Eid (Abu Eid) yuko nchini Uingereza (United Kingdom) katika ziara ya kida’wa.
Siku ya Ijumaa 13/02/2015 atazungumza na Waumin baada ya swala ya Al jumaa kenye ukumbi wa Al madrasatul Munawarah mjini Coventry kwenye Anuani 88 Paynes Lane, Coventry, CV1 5LJ, UNITED KINGDOM.
Jumamosi tarehe 14/02/2015...

 

9 years ago

Vijimambo

Tangazo la EID EL ADHA’ (EID EL HAJJ)

 
Assalamu Alaykum Wa Rahmatullaahi wa Barakaatuhu Uongozi wa Tanzanian Muslims Community of Washington DC Metro (TAMCO) Una Furaha Kuwakaribisha  WaTanzania Wote katika Sherehe za Eid El Adha’ kuadhimisha Kukamilika kwa Ibada Ya Hajj iliyofanywa na Mahujaji Wetu huko Makkah. Thursday September 24, 2015(in shaa Allah) 1.     Chai ya Asubuhi ya Pamoja, Baada ya Salat El EidKuanzia Saa Nne Asubuhi – Saa Saba Mchana 10AM-1PM & 2.     Sherehe za Eid Jioni  - Picnic (Cook out)Kuanzia Saa Tisa...

 

10 years ago

Vijimambo

Salam from Jiddah KSA

 Rahim Kangezi akiwa nje ya uwanja wa King Abdullah  kushuhudia mtanange kati ya Uruguay na Saudi Arabia. TV la uwanja linavyoonekana Mtanange ukiendela

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI


Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salam za rambi rambi kwa familia ya Moshi Shaban, kufutia kifo cha Moshi kilichotokea jana jijini Dar s salaam na mazishi kufanyika leo jijini Dar es salaam. 
Katika salamu zake za rambirambi kwa familia ya marehemu Moshi, TFF imewapa pole wafiwa, ndugu jamaa na marafiki na kusema wako pamoja katika kipindi hiki cha maombelezo na kuomba mwenyezi Mungu awajilie nguzu wafiwa 
Marehemu Moshi Shaban ni baba wa wachezaji waliowahi kuichezea timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani