Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia asema kero za Muungano zimetatuliwa

Samia SuluhuWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano, Samia Suluhu Hassan amesema Katiba Inayopendekezwa sasa imezipatia ufumbuzi wa moja kwa moja kero za Muungano zilizokuwepo awali, ambazo ziliibua malalamiko mengi kutoka kwa Zanzibar.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Samia: Kero tatu za muungano hazijatekelezwa

Bi.-Samia-SuluhuNa Jonas Mushi na Tunu Nassor, Dar es Salaam.
LICHA ya kutimiza miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, imeelezwa mambo matatu bado hayajatekelezwa ndani ya muungano.
Mambo hayo, ni pamoja na masuala ya kodi, mahusiano ya kifedha na usajili wa vyombo vya moto.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais ( Muungano), Samia Suluhu Hassan alisema pamoja na mafanikio ya Muungano bado mambo hayo hayajapata ufumbuzi wa kudumu kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Kero ya maji yagubika kampeni za Samia

Takribani mikoa sita ambayo Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amefanya kampeni zake, amepokea matatizo kadhaa, lakini tatizo kubwa linalokabili mikoa hiyo ni maji.

 

9 years ago

Habarileo

Samia: Ichagueni CCM itatue kero ya maji

MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewaahidi wakazi wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, kuwa endapo wataichagua CCM, itahakikisha inatatua changamoto zinazowakabili ikiwemo maji na umeme.

 

11 years ago

Habarileo

Kitabu kero za Muungano chaandaliwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAKATI Muungano ukiwa hoja kuu katika mchakato wa Katiba mpya uliofikia katika ngazi ya mjadala wa Bunge Maalumu, Serikali imeandaa kitabu maalumu kinachoelezea historia, utekelezaji wa mambo ya Muungano, mafanikio, changamoto, fursa na matarajio ya Muungano kwa miaka ijayo.

 

11 years ago

Habarileo

Kero za Muungano zilizosalia zatajwa

MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi ametaja kero za Muungano zilizo katika hatua za mwisho za ufumbuzi huku akieleza kwamba nyingi zimepatiwa ufumbuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kero zisivunje Muungano wetu’

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Juma Ali Khatibu amesema kero za Muungano haziwezi kuwa sababu ya kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaliwa mwaka 1964.

 

11 years ago

Mwananchi

Bavicha ‘yaivaa’ CCM kero za Muungano

Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) , limeitaka Serikali ya CCM kuwaeleza wananchi sababu zilizoifanya kushindwa kuondoa kasoro zinazodaiwa kuwa kero kwenye Muungano kwa miaka kadhaa.

 

11 years ago

Habarileo

Wawakilishi wataka kero za Muungano zitatuliwe

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi, wametaka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupatia ufumbuzi kero za Muungano, ambazo baadhi yake zimekuwa zikirudisha nyuma maendeleo ya wananchi na kupambana na umasikini.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri-Kero za Muungano zabaki tatu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kero za Muungano zimebakia tatu baada ya kufanyiwa kazi kwa lengo la kujenga muungano imara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani