Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAMIA HASSAN NDIYE MAKAMU MWENYEKITI BUNGE LA KATIBA

Samia Suluhu Hassan. Samia Suluhu Hassan ndiye Makamu Mwenyekiti wa Kudumu Bunge Maalum la Katiba baada ya kupata kura 390 sawa na 74% na kumshinda mpinzani wake Amina Abdallah Amour aliyepata jumla ya kura 126 sawa na 24%. Kwa matokeo hayo, Samia Hassan ataungana na Samuel Sitta aliyechaguliwa jana kuwa Mwenyekiti wa Kudumu wa bunge hilo katika mchakato mzima wa kupata katiba… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mhe.Samia Suluhu Hassan ndiye makamu mwenyekiti wa bunge maalum la katiba

Hatimaye leo Bunge maalum la Katiba limemchagua Mhe.Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu Mwenyekiti wake mjini Dodoma.   Hii inakuja baada ya jana kumchagua Mhe.Samweli Sitta kuwa Mwenyekiti. Mhe Hassan alichaguliwa kwa kura 390 sawa na asilimia 74.6 na kumshinda mpinzani wake Amina Abdalla Amour. Kura 7 ziliharibika - kama jana.   Katibu wa Bunge hilo Maalum ambaye atajulikana wakati wowote kuanzia sasa ataapishwa na Rais Jakaya Kikwete kesho asubuhi Ikulu ndogo Dodoma.   Katibu wa Bunge ndiye...

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Samia Suluhu arudisha Fomu ya kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bunge Maalum la Katiba mjini dodoma leo

Kina Mama wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakimsindikiza Mjumbe wa Bunge Hilo na Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Bi. Samia Suluhu Hassan(Aliyenyanyua fomu)kurudisha fomu kwa Katibu wa Bunge Mapema Leo asubuhi Mjini Dodoma. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Thomas Kashilila akitoa maelekezo kwa wapambe wa mgombea Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba kabla ya kupokea Fomu hizo Mapema Leo asubuhi Mjini Dodoma. Mjumbe wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAMIA HASSAN: Mwanamama aliyedhamiria kufanya kazi kwa umakini Bunge la Katiba

LEO namzungumzia Samia Suluhu Hassan, Waziri wa  Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano. Samia pia amechaguliwa kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Tanzania tunapiga hatua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Samia Makamu Bunge la Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan (CCM), amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti  wa bunge hilo. Uchaguzi huo ulifanyika jana, ikiwa ni siku moja baada ya kufanyika kwa uchaguzi...

 

11 years ago

GPL

SAMUEL SITTA NDIYE MWENYEKITI WA KUDUMU BUNGE LA KATIBA

Samuel John Sitta. ALIYEKUWA Spika wa Bunge la tisa, ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki,Samuel John Sitta ndiye Mwenyekiti wa Kidumu wa Bunge Maalum la Katiba baada ya kushinda kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rungwe! Mhe. Sitta ameshinda nafasi hyo hivi punde baada ya uchaguzi uliofanyika…

 

11 years ago

Michuzi

Mhe.Pandu Ameir Kificho ndiye Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba.


Bunge Maalumu la Katiba limemchagua Mhe. Pandu  Ameir Kificho (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba. Katika uchaguzi wa nafasi hiyo uliofanyika  kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Mh.Kificho ameshinda kwa Kura 393 sawa na Asilimia 69.Washindani wengine, Bi.Magret na Mhe.Mahalu wamepata Kura 84 kila mmoja sawa na Asilimia 15.79%. Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah alisema Mhe. Kificho ameshinda baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558...

 

10 years ago

Dewji Blog

Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) wakutana na Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba

PIX 1

Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu akiwaeleza jambo Wawakilishi wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) kuhusu mapendekezo yao waliyoyawasilisha kwake kwaajili ya Katiba Mpya.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

UMOJA wa Machifu wa Tanzania (UMT) kupitia wawakilishi wake, leo umewasilisha nyongeza ya mapendekezo yake kuhusu Katiba Mpya kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Akiuwakilisha Umoja wa Machifu Tanzani (UMT), Chifu kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani