Samia Makamu Bunge la Katiba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan (CCM), amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo. Uchaguzi huo ulifanyika jana, ikiwa ni siku moja baada ya kufanyika kwa uchaguzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSAMIA HASSAN NDIYE MAKAMU MWENYEKITI BUNGE LA KATIBA
11 years ago
MichuziMhe.Samia Suluhu Hassan ndiye makamu mwenyekiti wa bunge maalum la katiba
11 years ago
Michuzi13 Mar
Mh. Samia Suluhu arudisha Fomu ya kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bunge Maalum la Katiba mjini dodoma leo
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
SAMIA HASSAN: Mwanamama aliyedhamiria kufanya kazi kwa umakini Bunge la Katiba
LEO namzungumzia Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano. Samia pia amechaguliwa kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Tanzania tunapiga hatua...
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMEMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MAREHEMU BALOZI AUGUSTINE MAHIGA MKOANI IRIBGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Marehemu Balozi Augustine Mahiga wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika katika kijiji cha Tosamaganga Mkoani Iringa, Makamu wa Rais alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John ...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) wakutana na Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu akiwaeleza jambo Wawakilishi wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) kuhusu mapendekezo yao waliyoyawasilisha kwake kwaajili ya Katiba Mpya.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
UMOJA wa Machifu wa Tanzania (UMT) kupitia wawakilishi wake, leo umewasilisha nyongeza ya mapendekezo yake kuhusu Katiba Mpya kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Akiuwakilisha Umoja wa Machifu Tanzani (UMT), Chifu kutoka...
11 years ago
MichuziSITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA